Home NEWS Zabwa Lyrics – Hamadai – New Song 2020

Zabwa Lyrics – Hamadai – New Song 2020

0
Zabwa Lyrics

Zabwa Lyrics – Hamadai

Zabwa Lyrics Verse One

Mapenzi ni safari ya wawili
Mi nawe kimwana
Dhahiri tusifanye siri
Wajue twapendana

Tuzae na mapacha wawili
Tuitwe baba mama
Usisikize wanafiki manyili
Tukapalanganyana

Nafurahi nina bonge la toto
Navimba tukiwa mtoko
Mi naye ni kulwa na doto
Wanatetemeka eeeh

Chumbani mafoto mafoto
Jikoni mapocho mapocho
Biriani matando makoko
Ona nanepa eeh

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kitoto siyawezi
Penda vinono vikubwa mie
Viduchu viduchu siwezi

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kushare siwezi
Hii hiii hiii

Chorus

Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,, zabwa
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,,
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie mie

Zabwa Lyrics Verse Two

Shamba eka moja
Mi uwezo wa kununua sina, Aah sina
Nitakulisha chombeza
Na ugali wa muhogo dinner, Aah dinner

Nivumilie vaa midosho
Sooni tutaenda China, China
Maradhi usijali
Napambana nikufungulie bima

Sitamani nikuache na njaa
Akili yangu zoa zoa eeh
Naganga kusaka chapaa
Mama eeh mmmh

Kitandani wanipa raha
Sitamani ata kuchomoa mama
Na ujanja wangu aka Hamadai

Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kitoto siyawezi
Mapenzi ya kushare mimi
Haaaaa yaya

Chorus

Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,, zabwa
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,,
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie mie

Credit: Hamadai

ALSO, SING TO: Ebenezer Lyrics – Ben Pol – New Song 2020