Zabwa Lyrics Verse One
Mapenzi ni safari ya wawili
Mi nawe kimwana
Dhahiri tusifanye siri
Wajue twapendana
Tuzae na mapacha wawili
Tuitwe baba mama
Usisikize wanafiki manyili
Tukapalanganyana
Nafurahi nina bonge la toto
Navimba tukiwa mtoko
Mi naye ni kulwa na doto
Wanatetemeka eeeh
Chumbani mafoto mafoto
Jikoni mapocho mapocho
Biriani matando makoko
Ona nanepa eeh
Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kitoto siyawezi
Penda vinono vikubwa mie
Viduchu viduchu siwezi
Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kushare siwezi
Hii hiii hiii
Chorus
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,, zabwa
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,,
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie mie
Zabwa Lyrics Verse Two
Shamba eka moja
Mi uwezo wa kununua sina, Aah sina
Nitakulisha chombeza
Na ugali wa muhogo dinner, Aah dinner
Nivumilie vaa midosho
Sooni tutaenda China, China
Maradhi usijali
Napambana nikufungulie bima
Sitamani nikuache na njaa
Akili yangu zoa zoa eeh
Naganga kusaka chapaa
Mama eeh mmmh
Kitandani wanipa raha
Sitamani ata kuchomoa mama
Na ujanja wangu aka Hamadai
Siyawezi ooh siyawezi
Mapenzi ya kitoto siyawezi
Mapenzi ya kushare mimi
Haaaaa yaya
Chorus
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,, zabwa
Mi kwake zabwa
Zabwa zabwa, ooh zabwa, zabwa
Zabwa eeeh,,
Msona ndimu wala chumvi
Kwake zabwa mie mie
Credit: Hamadai
ALSO, SING TO: Ebenezer Lyrics – Ben Pol – New Song 2020