Home NEWS XMAS SONG LYRICS – Zzero Sufuri FT Nuclear

XMAS SONG LYRICS – Zzero Sufuri FT Nuclear

0
XMAS SONG LYRICS
XMAS SONG

XMAS SONG LYRICS – Zzero Sufuri FT Nuclear

Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Mangwaka zangu zimeland

Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Pedi wangu hayuko around
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Pedi wangu hayuko around

XMAS SONG LYRICS – Zzero Sufuri – verse 1

Kuna venye nilikuwa nikitaka
Sijui ka unauzaga nyama ya bata
Leta kwanza ka umekata kata
Sijui ka nitabeba ama itanifuata
Bahati nzuri nimeipata
Pitia kwa duka na uchukue
Fanta Coke ama Sprite fasta fasta
Ni mistari kuziandika na mafans kuwashika

Hadi wanapandisika downtown hadi Thika
Kutoka foreign Dagoretti washafika
Ndani ya kambi flani ni mistari tunazipiga
Ni venye zimeiva hadi wanadai kuonja
Hawawezi ngoja ni venye mi huwanyc design
Ya kajaba na tunjoti au gomba
Na ikibamba sana
DJ pull up ka ni noma

Chorus

Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Mangwaka zangu zimeland

Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Pedi wangu hayuko around
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Pedi wangu hayuko around

XMAS SONG LYRICS – Nuclear – Verse 2

Flight ya 4:20 haina hadi departure
Walai mi na apa sasha mi sitawai kuacha
Tangu nikujue mi ni kama pacha
Mara nyingi mi hujipata nikikuwaza
Nakutaja nakuroll nakuasha
Mokoro alinipata na wewe si alinipasha

Akanikataza same day akapata na-na-na zigi kwa kinyasa
Heri unichizishe kuliko unidai nakaza
Sa mbona nikufiche nikikukula ka nimenyamaza
Sia ati sina senti, sina sensi za kuseti
Siezi kuseti, na huyo pedi akikuja Ghai tutableki
Dagoretti na tuliwashow we gon make it

Chorus

Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Sijajipinge kuburn
Mangwaka zangu zimeland

Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Pedi wangu hayuko around
Naskia kuseti kiseti mina
Naskia kuimba zimenishika
Naskia kuseti kiseti mina
Pedi wangu hayuko around

ALSO, SING TO FORE Forever Lyrics – Nviiri the Storyteller

Credit

ZZERO SUFURI and NUCLEAR

 

Previous articleHow to Deposit Money from Mpesa to I&M Bank
Next articleShida Ndogo Ndogo Lyrics – Whozu