We Shall Overcome Lyrics by Stivo Simple Boy Ft Byzzo The Baddest, Vaal
Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
Ndio maanake
We will overcome
Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
We will overcome
Vaal
And all we going through
Jipe moyo
Tough times become at night
Joy comes in the morning
Shikilia tu
Jikaze wewe
Utasonga juu
Mungu yupo nawe
Byzzo The Baddest
Najua hali ni ngumu si siri sitakataa
Leo kuna giza kesho kutawaka taa
Shida zote ni ka candle zipe time zitakwisha
Form ni kuwa strong manze acha kuhuzunika
Baada ya dhiki faraja, pamoja tutavuka daraja
It’s just a matter of time si siri siku njema inakuja
Kweli we ni wa maana tena wewe ni wa power
At the end of the tunnel manze tutaona mwangaza
Chorus
Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
We will overcome
Stivo Simple Boy
Hardtimes define a real soldier
Si ni mashujaa na bado tuko kimoja
Usikufe moyo mashida zinapotusonga
Changamoto kibao lakini bado twasonga
So don’t worry hii vita tutashinda
Maisha ni safari ni kupanda na kushuka
After every tears kuna hope tabasamu
Mipango za Mungu usilinganishe mwanadamu
Chorus
Tumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome
We will overcome
Kuna matumaini yote yatapita
Usiku gizani, mchana itafika
We shall overcome We will overcome
We Shall Overcome Lyrics by Stivo Simple Boy – Download Mp3 Audio
ALSO, SING TO – Quarantei Lyrics – Ethic Entertainment