Home NEWS Wale Mang’aa Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Odi wa Murang’a

Wale Mang’aa Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Odi wa Murang’a

0
Wale Mang'aa Lyrics

Wale Mang’aa Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Odi wa Murang’ a SWAT – Download Mp3 Audio

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Sini-Si ni wale wabaya wacha kushangaa
Na hatuna haya na hii umang’aa
Niko juu ya jaba nikiteremsha chang’aa
Na niko na mbogi yangu nikute kwa mtaa

Tu tesa kila siku vile inafaa
Usingizi iliisha hujalala siku saba
Mguu zetu chafu bado unageu sana
Equalizing, miti ni dawa

Mangoko wote wako na umang’aa
Mangati wote wako na umang’aa
Mtaa sote tuko na umang’aa
Kama hujui sisi wote ni walee

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Shada imekazwa ndo ishikishi
Napita nikikata nikisip sip
Napiga hiyo kitu ina pisi pisi
Ukiona mi na mbulu jua niko Masii

Nakemba Wambo, Shiko, Joy na Mercy
Hizo shimo zote mi nina ma-key
Nakata base — mloso na Cassey
Toboa, kasongesho, brikicho, hicho hicho
Kalongongo na banono
Kilokolo cha mbao
Kujengwa ngwa kwa grao

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Odi wa Murang’a ni ka nimemeza tongs
Na leo katashika tu bila jing jongs
Na rieng niko ready tu camera ikiwa on
Na hao mangeus hapo kando walegeze thong

Mangwati mingi mingi kendo ngiri thirty
Mangwai mingi mingi kendo  mkoko thirty
Mi sina akili mi hutemea hadi wale mate
Mi humwaga ka chizi sipanguzi ndo ulambe

Singekuwa mkenya ningekuwa peddy wake
Ka angekuwa Getho ningemtoka saddles zake
Leo sidai beef sapa nakula sistake
Na beat ishamada, Kelly twende tukakate

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Si ni wale mang’aa wa ma ng’ang’o
Sisi ni mabwana wa mabibi zao

Wale Mang’aa Lyrics Credit – VDJ Jones, Juacali, Odi wa Murang’ a  and SWAT

ALSO, SING TO – Rieng Remix Lyrics – Boondocks Gang, VDJ Jones, Kristoff

Leave a Reply