Home NEWS Wajinga Nyinyi Lyrics – King Kaka – New Song 2019

Wajinga Nyinyi Lyrics – King Kaka – New Song 2019

0
Wajinga Nyinyi Lyrics

Wajinga Nyinyi Lyrics – King Kaka

Wajinga Nyinyi Lyrics – Part One

Dear Lord
Today I come before you
For two things
Grateful for keeping me alive
Even though unajua my day
Na kutupea wakenye Amnesia
Asante

Sisi ni Vipofu na Viziwi
Na tunajua translator wetu alishadedi
2022 already si mnajua nani ni Prezzi
Si mnajua nyinyi voters ni washenzi
Nyi hamjui mdomo yangu
Ilibatizwa na wakongwe
So unashangaa akilli zenu time ya kura
Zinajaa shonde

Na hiyo wiki ndo najua
Jirani yangu huwa Mjaka
Kamah kumbe huwanga Msapere
Hata salamu hatapata
Piga tu kura na utalala bila kula A night of tears
Nanii skiza na macho na ona na your ears
Swali

Fununu ni ati system ya education  ni ya uduu
Is it true that’s why umepeleka mtoi wako akasome majuu
While graduates wanashika placards kwa traffic
Mtu wa acturial science anataka kujimada its so tragic
Swali

Ati Waiguru ako kwa office
na story ya NYS tulishasahau
Biro moja alibuy 8 thao
Biro tunanunuanga mbao
Either sisi ndio wajinga ama
ako na marking scheme ya Accau
Time will tell, Vijana wanabet na Kifo
Wanadai betting imewapea job kuwaliko

City stadium imekuwa renovation for 3 years
budget ziwatoshe While Sonko anadance tu kwa Ofe
Swali

Wajinga Nyinyi Lyrics – Part Two

How do you sleep at night
knowing mkono yako imeua not close to purity
Wordsmith King Kaka arrested for fighting impunity
Ata wakijam na hatupati bread hawatusomi na Sikwani
Promises hamuweki hii ni relationship gani is it true
Uko na account offshore zimejaa money
Na account ya daughter ya waititu iko na depo ya 100 mita
Ukipelekwa kotini ni escort ya polisi kama sita
Ladies and gentlemen official speeh by Mbwa Mwitu

Wacha avae ngovi ya kondoo kwanza ndio tumsifu
Si basi wakam kwa church watoe pesa tulitoa kama tax
Na pastor anakiss ass, ampatie hadi asome kaverse
Na sisi tuko busy wajinga nyinyi tunaclap
Wakinisnipe tonight si mnajua ni kwa nini
Nitakufia watu mi siogopi mimi
Wasijifanye hapo watalost ata chuma u rust
Na hizo ganji hamtazikwa nazo news flash flesh urudi kwa dust
Nchi inaongozwa na thieves

Na ukiogopa jua hauwezi kuwa chief
Iba hizo mamita mko scott free niibe kuku ntalala ndani
Atleast pastor Ng’ang’a amewashinda anadanganya hadharani
Hapo parliament kwani mnashda gani simtuibie Kiplani
Mmetumiwa shetani gani na job ziko wapi
Swali ni ukweli lazima uretire ndio upate job
So inamaanisha lazima kwanza nipatie job ndio nipate job job

The youth ni moody at 90 and Gikonyo at 80
Manifesto mlisema job ni plenty
KQ walisamehewa deni ya 24 billion, sugar mill farms 40 bili
Na ujinga yenu mnaweka students hawajalipa kwa gazeti HELB
Wajinga Nyinyi

Wajinga Nyinyi  – Part Three

Hizo mlango zenu vile mmebeef security hamuwezi nikubalia hodi
Remember me my mom anaitwa Wanjiku na my father is a nobody
Naskia mafuta imepanda tena
Inatoka Turkana ndio urudi tena
Hesabu ya 1 plus 1 inawachenga
Mtaenda retreat kuidiscuss tena
Na mjiongeze pesa ya tax payer tena

Laptop ni multi billion project na walimu odhago hawana lights
Wanacharge kwa generator shopping center its not right
Wasipandishe tax hizo ndio dreams mi uwa nazo nikituna
What are we really doing as a country saa zile tunachuja Miguna
Petroli imepanda so inamaanisha polisi wataoperate kama customer care

Busaa na chwara zinamaliza mayout enyewe Stivo was right
Mihadarati haiwezi, wachane na polisi wafanye raid tena
Ama ni vile OCS hajapewa yake na kila mwizi oh i mean ya kila mwezi
Na polisi wako in cahoots, hao ndio usupply wagondi na guns za kushoot
Swali Kazi ni formalities na ukiapply ina bounce
Ni ukweli KPLC wanatuwekea Bill haziko na zinaenda kwa personal accounts

Welcome to our country where politician wana ujinga za kila aina
Economy imekuwa hard hakuna kitu ya kuteremsha chai na
Karibu to the Kenya Repulic of China
I support Teachers Doctors wakistrike
Na the president is saying ati kama hawarudi watachujwa

Hakuna siri kwa nyumba
Naskia jirani bibi anakula you know what i mean
Police anaishi kwa keja zimeseperatiwa na curtains i mean 2019
Na hizo damu zitawafuata kwa coffin
Punda idedi lakini mzigo ifike

KCSE hazijafika sababu ya floods so instead wacha niulize maswali
Harambee stars wanalala kwa floor airport flani while mnahire priate jets
Swali, disaster mnakimbia kusema vile mtacreate enquiry
Is it true women rep ndio wanadishi pesa ya pads meant for girls
Maize scandal wako na matusi kwa national TV such role models
Youth unemployment

Politicians ni addicts wa pesa
KRA wanatuibia ndio wapatie wezi pesa
Deadline ya tax return ni Tuesday
Jengeni tu, sips tea iko na mercury kwa shuge
Swali

Is it true war iko funded as tunaloose KDF soldiers daily so unalia
Ndio maana tumeshindwa kutoa troops somalia
Mnakula pesa ya health ndio maana mkenya hawezi afford
The moment you fall sick tunaskia unapata treatment Abroad
Na voter akidedi na Cancer Kera

Perfect opportunity atoe coffin na transport on top auze sera
Hapo ndio mras uwasha kilucy
In the name of treatment kuna power ni Kirusi
Moha umefunga jicho, jicho pevu ni Kipofu
Huduma number kumbe ilikuwa u ka scam flani
Na maraga anataka magari

 Part Four

Rais unaona hapo ni wanajeshi wa Navy wakionyesha umaarufu
Wao wa vita ya kulinda nchi wakiwa kwa maji
Wajinga nyinyi while Mariam na daughter wake hajapatikana wiki mbili wako kwa maji
Sema MCSK Kutuibia
Kwa traffic uko on the wrong side ndio urush kutuibia
5 years ndio zinaisha naskia umeanza kurudi kwa ground wacha
Kupretend and all Kenyans know kwa ground vitu ni

Swali sijui ka unakumbuka mimi ndio nilikuweka hapo
Can’t see you nikaa tunacheza tapo
Swali
Ama na assume ni vile ulibuy simu uko na line mpya
Na haushikangi numbers haujui
I stopped being your friend unanitreat namna ya adui

Swali
Stadium ziko wapi? Kazi ziko wapi?
Ile manifesto iliniwow iko wapi?
Na hii handshake kwani ni ile sisi ufinya Kenyatta kwa mkono ya karao
Swali
Ata kama tuko na Kenyatta ndio maana strongly feel hatujapata Uhuru.

ALSO, SING TO Kamikaze Lyrics – Octopizzo – New Song 2019

Leave a Reply