Home NEWS Vumilia Lyrics – Rayvanny – New Song 2020

Vumilia Lyrics – Rayvanny – New Song 2020

0
Vumilia Lyrics

Vumilia Lyrics – Rayvanny – Download Mp3 Audio

Verse One

Niwe kibatari ama mwanga wa mshumaa
Kwenye kigiza cha jioni
Pika dona ngangariii
Tulishushie na dagaa

Ukishatoka sokoni
Kisha tufunge safari
Itayo chukuwa masaa
Utokwe jasho mgongoni

Na vile nina machachari
Nikikushika kibaa
Utamu wa dicki nondoni

Kuna muda nawaza
Hivi nitakupa nini
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida nadona la chini niambiee

Mmh, wenye mapesa vogi na malamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini
Utuliee

Sambusa kachorii pamia aaee
Tukipata pesa ni sangala
Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala

Chorus

Kwa hiyo mama usijali
Vumilia Iyeeee
Vuuumilia iye iye Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia, Vuuuumilia, vumilia, Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Verse Two

Najuwa unatamani mama high waist
Make up weaving za dubai na china
Ule pamba nyepesi setaaar
Chain ya dhahabu yenye jinaa

Oooooh, basi mama vumilia
Nakupigania mpenzi subiria
Oooooh, acha kujiinamia
Punguza kulia tatusaidia

Ati mapenzi si moyo
Mapenzi ni pesa
Kama kweli masikini yatatutesa
Uchoyo usinipe pressure naomba unipendee

Kuna muda nawaza
Hivi nitakupa nini
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida nadona la chini niambiee

Mmh, wenye mapesa vogi na malamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini
Utuliee

Sambusa kachorii pamia aaee
Tukipata pesa ni sangala
Mchicha mtori pamia aaee
Kama tukikosa tunalala

Chorus

Kwa hiyo mama usijali
Vumilia Iyeeee
Vuuumilia iye iye Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia, Vuuuumilia, vumilia, Vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Vumilia Lyrics Credit – Rayvanny

ALSO, SING TO – One Lyrics – Rayvanny Ft Karen – New Song 2020