Utashangaa Lyrics – Guardian Angel – Download mp3 audio
Intro
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa
Yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa,
Wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Yale Mungu ametenda
Verse One
Kumbuka ulipokuwa umelazwa
Wakakata tamaa
Wakatuma ujumbe kwa wote
Marafiki jamaa
Wakasema huyo ametuacha
Yamebaki masaa
Ona sasa ulivyo na afya nzuri
Bwana ametenda
Umeiona siku ya leo, Bwana ametenda
Familia uliyo nayo, Bwana amekupa
Hata nguo ulizo nazo, Bwana amekupa
Oooh we utashangaa yale Mungu ametenda
Chorus
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa
Yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa,
Wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Yale Mungu ametenda
Verse Two
Yesu ana mikate mitano na samaki wawili
Na kuna watu elfu tano wake pia watoto
Neno lasema alishukuru na vikaongezeka
Watu wakala na vikabaki vinashangaa
Jifunze kumshukuru Bwana
Kwa hicho ulicho nacho
Hata kama ni kidogo sana
We shukuru unacho
Kuna yule anayetamani
Kuwa hapo ulipo
Wewe utashangaa
Yale Mungu ametenda
Chorus
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Zipe majina, zipe majina
Hesabu baraka zako moja kwa moja
Na utashangaa
Yale Mungu ametenda
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa,
Wewe utashangaa
Na utashangaa, na utashangaa
Na utashangaa, wewe utashangaa
Yale Mungu ametenda
Utashangaa Lyrics Credit – Guardian Angel
ALSO, SING TO – Rada Lyrics – Naiboi Ft Avril – New Song 2020