Unstoppable Lyrics – Mum Cherop Ft Rose Muhando
Intro Verse
I am unstoppable
ooooh
I am Invincible
ooooh
I am unstoppable
ooooh
I am Invincible
ooooh
I am unstoppable ooooh
Unstoppable ooooh
I am Invincible ooooh
Invincible ooooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooooh
Unstoppable
Unstoppable Lyrics Verse One
Eeeii
Alichoanzisha bwana atatimiza
Baraka zake kamwe hazina huzuni
Anamuinua mnyonge kutoka mavumbini
Kuumketisha pamoja na wafalme
Maono yako hayatazuiliwa
Hatima yako imehakikishwa
Na kama tai, utapaa juuu
Iyeeeeeeeeeeeeeeee
Baraka yangu, ahadi yangu
Agano langu, eh mungu wangu
Agano langu, lazima litimie
Alianzisha kazi njema ndani yangu
Yeye bwana, ataitimiza
Kama daudi, aliahidiwa
Siku moja atakuwa mfalme
Pamoja na shida, alizozipata kwa sauli
Lakini siku moja alikuwa mfalme
Yusufu naye, utumwani misri
Haiya siku moja, akawa waziri
Ahadi ya mungu lazima itimie
Eeeeeeeeeeehhhhhh
Chorus
I am unstoppable ooooh
Unstoppable ooooh
I am Invincible ooooh
Invincible ooooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooooh
Unstoppable Lyrics Verse Two
No one shuts the door that God has opened
No one shuts the door that God has opened
My vision is well defined
My vision is well defined
I won’t yield to intimidation nor panic
No one pinned me down
Ingawa Leo, naishi maisha ya chini
Ingawa leo, napewa majina mabaya
Agano la mungu, lazima litimie
Ahadi ya yahweh, lazima litimie
Eeeeeeeeeeeeeeehhhh
Chorus
I am unstoppable ooooh
Unstoppable ooooh
I am Invincible ooooh
Invincible ooooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooooh
Unstoppable ooooh
I am Invincible ooooh
Invincible ooooh
Maono yangu, hamtayazika
Baraka zangu, hamtazuia
I am unstoppable ooooh
Credit: Mum Cherop and Rose Muhando
ALSO, SING TO Shashula Lyrics – Magix Enga – New Song 2020