Home NEWS Unaniona Lyrics – K2ga – New Song January 2020

Unaniona Lyrics – K2ga – New Song January 2020

0
Unaniona Lyrics
Unaniona k2ga

Unaniona Lyrics – K2ga

Unaniona Lyrics Verse One

Nilipata taabu kupata penzi lako
Kwa sababu ulisita moyo wako
We key yangu we funguo  ipo kwako
Mimi mazima siwezi toka kwako

Jamani moyo wangu usijezima
Kulalamika ka ukilema
Kunipa penzi lako ata huruma una
Unanitesa sana

Jamani moyo wangu usijezima
Aaah unanitesa sana
Kunipa penzi lako ata huruma una
Unanitesa sana saana

kidochi kibuti kumwagwa kutoswa kutemwa
Inauma sana
Na kidochi kibuti kumwagwa kutoswa kutemwa

Chorus

Sasa hivi unaniona aha
Thamani mi sina aha
Unavyonisema  aha
Sina maana tena aha

Hivi unaniona aha
Thamani mi sina aha
Unavyonisema  aha
Sina maana tena aha

Unaniona Lyrics Verse Two

Wasi wasi wa moyo nilionao
Moyo wako bado hujaona
Kuwa nawe bado naona
Uzito wa penzi lako uzani unagoma

Basi si nipee sikio mi leo
Usikie niyasemayo
Usinipeleke mbio saana
Kama huitaki we sema

Unaona ata raha sina, sina
Sina pa kupapasa sina, sina
Sina pa kushika sina, sina, Sina pa kuhemea sina, sina

kidochi kibuti kumwagwa kutoswa kutemwa
Inauma sana
Na kidochi kibuti kumwagwa kutoswa kutemwa

Chorus

Sasa hivi unaniona aha
Thamani mi sina aha
Unavyonisema  aha
Sina maana tena aha

Hivi unaniona aha
Thamani mi sina aha
Unavyonisema  aha
Sina maana tena aha

Haa waniona, hivi unaniona
Unaniona unaniona unaniona haaa
mmmh king’s music

Credit: K2ga

ALSO, SING TO: Mkombozi Lyrics – Roma ft One Six – New Song Jan 2020

Previous articleTangaza Lyrics – Zzero Sufuri ft Wakuu Music – New Song 2020
Next articleWhy Lyrics – Ben Pol Ft Harmonize – New Song January 2020