Umenishika Lyrics – Wini Ft Masauti – Download Mp3 Audio
Verse One
Masauti, Kenyan Boy
Wini girl, Finest girl
Mama(Umenishika shika)
Its new Aloneym on the track
Kama mapenzi tiba
Basi kwako nimeshapona
Kama mapenzi hasara
Ooh basi faida sijaiona
Kama mapenzi hesabu
Basi kwako nimefeli
Hakika kwako mi zuzu eeh
Umenishika shika
Beiby unanicontrol
Umeniteka umeni-overdose
Tukiwa kwenye show
Wanivuruga kabisa kama chizi
Oooh beiby unanicontrol
Na vile ukinitazama kichozi
Unanituliza fujo
Ninakuwa mpole
Chorus
Unanimaliza beiby
Umenishika shika
Sina wa kumpa maana ushanichanganya
Umenishika shika
Na moyo wangu uko nyang’a nyang’a eeh
Umenishika shika
Usije ukanikimbia ukaniachia vumbi
Umenishika shika
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Verse Two
(Ah yii)
Pongezi ziende kwa mganga
Aliyekufanya uniteke teke
Wewe umeniua kwa upanga
Tena ukanipiga kwa mateke
Umenifunga minyororo
Na kwako sipumui
Umenifunga kabisa mdomo
Na kwako siongei
Beiby unanicontrol
Umeniteka umeni-overdose
Tukiwa kwenye show
Wanivuruga kabisa kama chizi
Aaah beiby unanicontrol
Na vile ukinitazama kichozi
Unanituliza fujo
Mi nawa mpole aaah
Chorus
Unanimaliza beiby
Umenishika shika(Shika)
Sina wa kumpa maana ushanichanganya
Umenishika shika(Shika beiby)
Na moyo wangu uko nyang’a nyang’a eeh
Umenishika shika(Shika ooh)
Usije ukanikimbia ukaniachia vumbi
Umenishika shika
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Tekenya tekenya, tekenya
Verse Three
Nitakupa penzi la kiKenya(Tekenya)
I go give you love vi da lover(Tekenya)
Na unapotaka nitapenya(Tekenya)
Mi ndo Kenyan boy Don dada(Tekenya)
Nitakupa penzi la kiBongo(Tekenya)
I go give you lovi da loker(Tekenya)
Na unapotaka nitapenya(Tekenya)
Am the finest girl from Tanzania(Tekenya)
The Mix Killer
Umenishika Lyrics Credit – Wini and Masauti
ALSO, SING TO – Maringo Lyrics – Best Naso – New Song 2020