Home GENERAL Tuheshimu Ndoa Lyrics – Stivo Simple Boy – New Song 2020

Tuheshimu Ndoa Lyrics – Stivo Simple Boy – New Song 2020

0
Tuheshimu Ndoa Lyrics

Tuheshimu Ndoa Lyrics – Stivo Simple Boy – Download Mp3 Audio

Chorus

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Verse One

Mbona nani nyinyi mlipendana
Si nyinyi tu mlikuwa mkichumbiana
Mliahidiana mapenzi mengi sana
Na sasa mnadai kuachana

Manze kudivorce sio poa
Inafanya watu waogope poa
Pete muliweka sasa munatowa
Mapenzi mlipanda sasa mnang’owa

Ni poa kurudisha love ndani ya ndoa
Take your time study mtu kabla hujamuoa
Usitupe mbao ju ya mapaja
Zikifade utawachwa ukitapa tapa
Huku kule kama mwana bata

Vipi leo na jana mlikula bata
Kiapo chenyu kwa altar kishapotea
Sasa mwakipata pata
Mwakipata pata

Chorus

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Verse Two

Mola aliweka ndoa ni ya wawili, bwana na bibi
Akaweka mikakati mambo ikawa shwari
Lakini wanadamu wakageuza story

Majina matamu kama
Baby baby sweery sweery hunnie hunnie Sikuhizi haipatikani
Wakati mulioana muliweka promise
Mbele ya mashahidi na kasisi

Mukakiri ati baby I want you baby i need you baby i love you
Lakini wote leo mumekuwa makafiri
Mara sukari mummy mara sukari daddy
Hakuna penzi la dhati

Chorus

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Verse Three

Ndoa sikuhizi imekuwa mchezo
Mpaka wengine wanachomwa na maji moto
Wanabehave tu kama watoto
Kila saa kila siku ni malumbano

Baba na mama nataka maelewano
Mtaa imejaa watoto kibao mawazo kibao
Mpaka kwenye mtandao
Siri za ndoa zilifikiaje wao?

Tafakari mama
Tafakari baba
Ndoa is so real
Sio pata potea

Mpango wa kando potezea
Love is for two to become one
Kwa heshima na uaminifu
Tutamake it through

Chorus

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Mabibi na mabwana muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa
Wanaume kwa wanawake muheshimu ndoa aah
Muheshimu ndoa

Tuheshimu Ndoa Lyrics Credit – Stivo Simple Boy

ALSO, SING TO – Kuna Siku Youths Wataungana Lyrics – Wakadinali Ft Sir Bwoy

Previous articleMassawe Japanni Biography, Career, Husband, Facts, Children
Next articleGere Lyrics – Tanasha Ft Diamond Platnumz – New Song 2020