Home NEWS Tekenya Lyrics – Lava Lava

Tekenya Lyrics – Lava Lava

0
Tekenya Lyrics

Tekenya Lyrics – Lava Lava

It’s Lava Again
S2kizzy baby
Maximizer

Tekenya Lyrics – Lava Lava

Kamenitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto
Kanitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto

Kamenitekenya kamenigusa kunako (eeh kunako)
Kanitekenya kamenipofua macho (eeh macho)
Kanafanya makusudi kama hakataki pipi, (dori dori)
Kanafanya nakwenda rudi, boda boda pikipiki, (torori rori)

Kanitekenya, kanipandisha midadi, nikimuona beki hazikabi
Kanitekenya, moyo mpasuko radi, mapigo mbio bila ya idadi
Kanitekenya, shepu lake la nicki minaji, mtoto ananimalizia mtaji
Kanitekenya, akili kwake hazichaji, natapa tapa kama mfa maji

Chorus

Teke tekenya, tekenya,
Kaniteke tekenya, tekenya
Amenishika kwenye paja, tekenya
Namtajataja, tekenya

Teke tekenya, tekenya,
Kaniteke tekenya, tekenya
Amenigusa kwenye kwapa, tekenya
Yaani mara huku mara hapa, tekenya

Kamenitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto
Kanitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto

Tekenya Lyrics – Lava Lava

Kanitekenya, kama gari imepigwa starter
Kanitekenya, yaani kama boda boda imewashwa
Kananitekenya, kakitingisa tetemente, tetemente
Kanitekenya, nipatashika mambo yente, yente yente

Ooh lala, nitamaliza mikwanja, siku nikikakamata
Ooh lala, teacher atakuwa kiranja, kuku atampanda bata

Kanitekenya, kanipandisha midadi, nikimuona beki hazikabi
Kanitekenya, moyo mpasuko radi, mapigo mbio bila ya idadi
Kanitekenya, shepu lake la nicki minaji, mtoto ananimalizia mtaji
Kanitekenya, akili kwake hazichaji, natapa tapa kama mfa maji

Chorus

Teke tekenya, tekenya,
Kaniteke tekenya, tekenya
Amenishika kwenye paja, tekenya
Namtajataja, tekenya

Teke tekenya, tekenya,
Kaniteke tekenya, tekenya
Amenigusa kwenye kwapa, tekenya
Yaani mara huku mara hapa, tekenya

Kamenitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto
Kanitekenya tekenya katoto
Kamenitekenya tekenya katoto

Ayolizzer

ALSO, SING TO Magical Lyrics – Navy Kenzo

Credit

LAVA LAVA