Home GENERAL Tandika Lyrics – Wakuumusic, Maddox, The only delo

Tandika Lyrics – Wakuumusic, Maddox, The only delo

0
Tandika Lyrics

Tandika Lyrics – Wakuumusic, Maddox, The only delo

Tandika Lyrics Verse One Chorus

Si ananicheki vipi ju mi naidai
Na cheki kama  subaru ni mingi nadai ndai
Lazima joh anashangaa lazima nibuy ndai
So akuna kitu anagwaya ata kama anayadai

So beiby basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika
Kitandani mi nakam kuitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam

Basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika 
Kitandani mi nakam

Tandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam jam jam

Verse Two

Fly n ama get right
She play with it cz am a bossy
N Imma get it tight
Hide write cz imma get you afraid

You love your life
I wanna be friends
And don’t mess with my money

Nimelelewa mtaani I beg 
I beg you don’t you threaten ma life 
Nionyeshe hizo mavitu 
I had thi best don’t u b wasting my time
Na kama hauwezi inama
Huyo si dem hawezinicy ma mind 
Na kama hauwezi lamba 
Huyo si guest na beshte yake simdai

Ashaniwaiwai we guza tu nadai 
Mi rafiki na usiku sana tu nadai
Acha ni light ngwwai ndo mi ni pass time
Ju narudi narun Nai bae we nuh run wild

Ashaniwaiwai we guza tu nadai 
Mi rafiki na usiku sana tu nadai
Acha ni light ngwwai ndo mi ni pass time
Ju  narudi narun Nai bae na we nuh run wild

Chorus

Si ananicheki vipi ju mi naidai
Na cheki kama  subaru ni mingi nadai ndai
Lazima joh anashangaa lazima nibuy ndai
So akuna kitu anagwaya ata kama anayadai

So beiby basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika
Kitandani mi nakam kuitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam

Basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika 
Kitandani mi nakam

Tandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam jam jam

Verse Three Maddox  of Boondocks Gang

Tandika tandika
Nishakwom nishatandika
Katika Only wrongs zimekatika
Party cup zote zimejazwa na mang’ang’oo
Na majango wote wanakemba wamboo

Cheki roll nisharoll kikolombo
Ka za jamaican zimeshika lo lo lo
Na mroro cheki nikushoto
Na kong’oto wanakula mbotoo

Verse Four

Tupa glass ni chupa ku chupa
Na ngoma ikigonga me nacheza na dhudha yo 
Ngoma ni kazi tuliza hiyo pupa
Panguza kamasi na miguu zinatupa

Cheza na hiyo beat ndo usikie kadoba
Na waliobonga shit wale wa kujichocha
Lyrics bila haya ndio hii yako moja
Unakaa pang’ang’a ka ikus inagongwa

Mami toa shada na uashe kamoja
Macho ziwe coloured sana tena kwa muda
Tumejaza na mang’ong’o tumejaza wasupa
Piga king’aro line tunawatesa kwa bukla

Unataka ngoma zii ama ngoma kama hii
Ngoma kama hii ngoma zi zi zi
Unataka ngoma zii ama ngoma kama hii
Ngoma kama hii ngoma zi zi zi

Chorus

Si ananicheki vipi ju mi naidai
Na cheki kama  subaru ni mingi nadai ndai
Lazima joh anashangaa lazima nibuy ndai
So akuna kitu anagwaya ata kama anayadai

So beiby basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika
Kitandani mi nakam kuitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam Basi

ALSO, SING TO Iwake Lyrics – Eko Dydda – New song 2019

Tandika Lyrics Verse Five

Me huwa sikai toto sijam Bado na shash
Me huwa nacrush zile biggy zile pigwa shash
Sitaki poko mmh acha nisearch search
Sina moto niko ngwai kejani na bash

Sina motar kwa mboo lala na lotto
Sina moto na ako kesho na shodho
Hakana mtu bado shika tunipple
Niko kutu aiii na siwezi chachisha

Niko who do i na siwezi lalisha
Me huwa nachapa inasusu mpaka inatisha
Me huwa nasaka dhudha biggy za kutisha
Tisha bado hata kibedhe me huchachisha

Niko who do i na siwezi lalisha
Me huwa nachapa inasusu mpaka inatisha
Me huwa nasaka dhudha biggy za kutisha
Tisha bado hata kibedhe me huchachisha

 Tandika Lyrics Chorus 

Si ananicheki vipi ju mi naidai
Na cheki kama  subaru ni mingi nadai ndai
Lazima joh anashangaa lazima nibuy ndai
So akuna kitu anagwaya ata kama anayadai

So beiby basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika
Kitandani mi nakam kuitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam

Basi tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika 
Kitandani mi nakam

Tandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam jam

Tandika tandika
Mami tandika tandika
We tu tandika tandika
Kitandani mi nakam kuitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Mi nitaitandika tandika
Ni kama mi nimejam basi

Credit

WAKUUMUSIC
BOONDOCKS GANG MADDOX
THE ONLY DELO

Previous articleHow to get your Safaricom PUK to unblock your line
Next articleIwake Lyrics – Eko Dydda – New song 2019