Home NEWS Tamba Lyrics – Mbosso

Tamba Lyrics – Mbosso

0
Tamba Lyrics by Mbosso

Tamba Lyrics by Mbosso – Download Mp3 Audio

Pasha maji weka moto
Tandika jamvi naja nyumbani
Nimekuletea zawadi
Kijora cha mkopo

Futa nanazi ujipare honey
Na vijisabuni vya magadi

Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake
Ye king’amuzi ni dishi lake

Fungeni maturubai
Mkeshe mkisema
Wala hamtupi shida
Mkeshe mkisema

Ndio kwanza tunajidai
Mkeshe mkisema
Kama afisa wa NIDA
Ooooooh

Tena daktari nimekuja na tiba sindano
Leta nichomeke
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano
Leta nichomeke

Nipo ngangari tayari kwa mapambano
Leta nichomeke
Tayakangusazi leo mambo msuguano
Leta nichomeke

Taaamba Tamba
Nakupa uwanja Tamba
Taaamba Tamba
Warushe warushike roho zao

Taaamba Tamba
Wasokujua wakujuwe leo
Taamba Tamba
Tamba mama nawe

Nitalinda benki kwa rungu niaminie
Taka langu mwana mvungu nainama mie
Wavunje nazi na nyungu wajifushie
Uumwa yangu atulinde mungu yasitufikie

Nilishakumbwa na Tsunami
Na mapenzi nikalia nina amani kwako sasa
Penzi si la unyang’anyi pekee yangu najilia
Nashiba na kusaza

Na ka TV kangu kanawaka kuzima
Nikupe
Na kasimu kangu japo ka mchina
Nikupe

Shika na moyo wangu enda nao mazima
Nikupe
Tuzaliwa Mecca tufie Madina
Nikupe

Fungeni maturubai
Mkeshe mkisema
Wala hamtupi shida
Mkeshe mkisema

Ndio kwanza tunajidai
Mkeshe mkisema
Kama afisa wa NIDA
Ooooooh

Tena daktari nimekuja na tiba sindano
Leta nichomeke
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano
Leta nichomeke

Nipo ngangari tayari kwa mapambano
Leta nichomeke
Tayakangusazi leo mambo msuguano
Leta nichomeke

Taaamba Tamba
Nakupa uwanja Tamba
Taaamba Tamba
Warushe warushike roho zao

Taaamba Tamba
Wasokujua wakujuwe leo
Taamba Tamba
Tamba mama nawe

Nishalinoa panga porini kukata muwa
Wanakaza kitanda usiku kuneng’emuwa
Nishalinoa panga porini kukata muwa
Wanakaza kitanda usiku kuneng’emuwa

Nishalinoa panga porini kukata muwa
Wanakaza kitanda usiku kuneng’emuwa

Tamba Lyrics by Mbosso

ALSO, SING TO – Peke Yangu Lyrics – Enock Bella

Leave a Reply