Home NEWS Sugua Lyrics – Jux feat. Diamond Platnumz

Sugua Lyrics – Jux feat. Diamond Platnumz

0
Sugua Lyrics

Sugua Lyrics – Jux feat. Diamond Platnumz

Sugua Lyrics Verse one – JUX

Simsima, toto mpe funguo za bima
Anitoa Bongo nimefika mpaka China toto
Zipuka kishungi nimezima
Amenipa lunch nimekula mpaka dinner yeah

Santana santana
Kitandani maji maji yanapambana
Anainama kanainama
Kanavyoiokota kama ua sama

Sugua Lyrics – Diamond Platnumz

Wakali kwili kwili sikopeshi(sikopeshi)
Namlipa mbili mbili sina breki(Sina breki)
Nakadudisha mwili kitenesi(Kitenesi)
Kamenikiri kiri mara kesi
Asa nionyeshe alichokupa mama

Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu

ALSO, SING TO Naenjoy Lyrics – Aslay – New Song 2019

Verse Two – Diamond Platnumz

Utapenda pini pini ama kitaka
Nikupe kwa chini chini ama kwa ngoko
Ngweli sabini bini ama kimako
Chenga mwilini lini Jonny Boko
(Brrr Okey)

Udi! udi udi udi(Udi)
Katoto kako gudi gudi gudi(Gudi)
Mudi mudi mudi mudi(Mudi)
Navyokatafuna kama fudi

Oyaa, katoto dosalale
Eeeh dosalale
Nakapa fishi kambale
Eeeh kambale Kibidu bidua(Oooh bidua)
Pindu pindua(Oooh pindua)
Yaani nakachimbu chimbua(Ooh chimbua)
Nambandika bandua
Oooh dada de
Yaani kama gaga
Limekwama kwenye guu

Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu

Verse Three – Diamond and Jux

Beiby, wakiweka unaweka(Weka hatuoni)
Ukichomoa unachomeka(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Komesha watoto wa town(Weka hatuoni)

Weka kama unasusa(Weka hatuoni)
Nisogezee kisambusa(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Nikomeshee watoto wa town(Weka hatuoni)

CREDIT

JUX
DIAMOND PLATNUMZ

Previous articleWaihiga Mwaura Biography, Age, Wife, Wedding, Career
Next articleOdibets Registration, Login, Deposit, Bonuses, Jackpot