Home NEWS Stivo Simple Boy Uhalifu Lyrics Song of 2019

Stivo Simple Boy Uhalifu Lyrics Song of 2019

0
Stivo Simple Boy Uhalifu Lyrics

We have written the best Stivo Simple Boy Uhalifu lyrics below. You will without doubt fall in love with our Stivo Simple Boy Uhalifu lyrics. Enjoy and remember to come back for more sweet lyrics. We provide the best lyrics.

Intro Saying

Ayo, Warrup my people
It is upon me and you
To Stop crime
Stivo simple boy
Ndio maanake
Listen to this

Chorus

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Verse One

Watoto wa kiume na wakike
Wameingia uhalifu
Hawafanyi vitu poa
Wanafanya vitu mbaya zinaleta uharibifu

Hawatii wazazi
Hawatii wakubwa wao
Hawako waaminifu
Hawako watulivu
Jamii inalia, watu wanahofu
Hakuna kutabasamu
Kisha wanasema watoto hawana nidhamu
Hawana uadilifu, hawana hata utu
Hao ni uhalifu, kila siku kila mara
Wanafanya uhalifu, ukiwa na kakitu
Wanaleta taabu, wanamwaga damu
Kisha wanajisifu ati hao ni wakuu
Wahenga walisema asiyefunzwa na mzazi hufunzwa na ulimwengu
Ndio maana mi nasema watoto wa kiume na wa kike
Muwache uhalifu…

ALSO, SING TO Equity Bank Anthem Lyrics – Equity Bank Choir 2019

Chorus

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Verse Two

Mimi Stivo Simple Boy mwana wa Dorcasi
Nina uchungu moyoni, napaza sauti
Kwenye microphone vijana wetu jamani
Tunawapenda kwa dhati wanapigwa marisasi
Wengine kwenye ward, wengine magerezani
Wengine chembani wako, makabatini
Wamepoteza uhai juu ya uhalifu
Is very sad inafaa tufanye jambo
Uhalifu ufike tamati

Chorus

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Verse Three

Natema mistari yaani natema mavocal
Milio ya mgambo ikilia kuna jambo
Nami nina jambo, tulia nikupe mambo
Watoto wa kiume na wa kike wanatanga tanga tu kama umbwa koko
Ati hao ni Rambo, wanaleta matatizo
Ukisema ukweli wanakunyooshea mkono
Kisha wanakutusi, punguza nyokonyoko
Uliza Oyooo, Flex ama Mammito
Wakupe uhondo tunahitaji suluhisho
Uhalifu ufike kikomo, vijana waishi vyema
Bila matatizo

Last Chorus

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

Uhalifu si poa(Uhalifu)
Uhalifu si nzuri(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)
Ha(Uhalifu), Ha(Uhalifu)

ARTIST: STIVO SIMPLE BOY

ALSO, SING TO Rayvanny Chuchumaa Lyrics song of 2019

Previous articleHow to check CRB status online Kenya
Next articleMeta Loan App for Android Latest Version.