Home GENERAL Shashula Lyrics – Magix Enga – New Song 2020

Shashula Lyrics – Magix Enga – New Song 2020

0
Shashula Lyrics

Shashula Lyrics – Magix Enga

Verse One

Yoh yoh
Manchiz zimeshika
Kamejipima ndunya sio upepo
Kamebonya mikate tatu na bado hakajashiba

Zima shasha pace ka unakula na hiyo noma
Ama, wacha nirequest kaboda
Hawa mangoko wanakula hadi ngoma
Hakuna nyongi walichoma hadi filter

Mi ni chinese nakulanga hadi paka
Nina chinku anapendaga kula nyoka
Uuuuh, shada zimelipuka ungedhani nyumba kibanda
Nikuchachisha na wangoko sio washamba
Nikumatisha na mashada joh za gaza

Chorus

Washa kidogo, washa kigode
Washa kishasha,hehe enga enga
If you wanna dis you a bring it bring it
Am the King of hit sina time na nyinyi
Mi ndio kamanda wengine mudunge tu mini
Mi ndo King… na wewe ni kidosho

Shashula Lyrics Verse Two

Umbwa wewe cheza davido kwako
Usituletee hizo mangoma za kitoto
Cheza mangoma za Kenya si makwaito
Kujipendekeza na radio si ya babako

Mi ni Don we ni donda
Napiga look vinoma
Zako Gikombaa, gikombaa
Akikaa mbaya naku mu mu
Bazenga nafanya vitu hawezi fanya

Chorus

Washa kidogo, washa kigode
Washa kishasha,hehe enga enga
If you wanna dis you a bring it bring it
Am the King of hit sina time na nyinyi
Mi ndio kamanda wengine mudunge tu mini
Mi ndo King… na wewe ni kidosho

Shashula Lyrics Verse Three

Kidosho kinapii kanapeana joto
Na kanataka stick
International dada wacha nikushow vile unamada
Unamada unamada

Gyal dem whine take it down low
Show them gyal what you got
Gyal me love the way you wanna do
Don’t be shy i want take you to my room
Shit manze naimba kila kitu hii mwaka but anyway
Enga enga

If you wanna dis you a bring it bring it
Am the King of Hit sina time na nyinyi
Mi ndio kamanda wengine mudunge tu mini
Mi ndo King… na wewe ni kidosho

Chorus

Washa kidogo, washa kigode
Washa kishasha,hehe enga enga
If you wanna dis you a bring it bring it
Am the King of hit sina time na nyinyi
Mi ndio kamanda wengine mudunge tu mini
Mi ni King… na wewe ni kidosho

If you wanna dis you a bring it bring it
Am the King of hit sina time na nyinyi
Mi ndio kamanda wengine mudunge tu mini
Mi ni King… na wewe ni kidosho

Credit: Magix Enga

SING TO: Kawazim Lyrics – Boondocks Gang Ft Sailors, Magix Enga – 2020

Previous articleKawazim Lyrics – Boondocks Gang Ft Sailors, Magix Enga – 2020
Next articleMillie Odhiambo Biography, Age, Politics, Husband, Facts, News