Home NEWS Sasa Pambana Lyrics – Jasper Murume – Song 2020

Sasa Pambana Lyrics – Jasper Murume – Song 2020

0
Sasa Pambana Lyrics

Sasa Pambana Lyrics – Jasper Murume

Eeeeeh, Producer Kliggah
Hallo, uko wapi bwana kuja sai sai
Mi ndio natesa kuja kuja kuja

December uliambiwa hukusikia
December uliambiwa hukusikia
Sasa ng’ang’ana Sasa Pambana
Sasa ng’ang’ana Sasa Pambana, Na hali yako

Excuse me, Waiter
Mbona chakula haina chumvi bana
Rudisha ulete ingine bwana
I have money, ala

Chakula haungekula haina nyama
Chakula haungekula haina nyama
Sasa managu sasa ni kunde
Sasa managu tena na kunde bila nyanya

Bwana do you know who i am hehee
Unataka nikugonge na pesa wewe
Aiii heshima bwana
Respect tha OGs

Majina ulikuwa umebadilisha
Majina ulikuwa umebadilisha
Chief mkurugenzi ama kiongozi
Chief mkurugenzi ama kiongozi ulichochwa

Hallo, Hallo Producer
Nitafutie elfu mbili hapo nitakurudishia
Si hivo niko chini kidogo
Si unajua january

Sasa hata watoto hawakuheshimu
Sasa hata watoto hawakuheshimu
Jina kubwa umebaki nayo ni Kasee
Jina kubwa umebaki nayo ni Kasee si vizuri

Hallo, Hallo Mkubwa
Churchill fanya ivi
nirushie 20k advance

Tutakata uko mbele

Ulileta wasichana mia december
Ulileta wasichana mia december
Kodi ya thao tano imekushinda
Kodi ya thao tano imekushinda, kabisa wee

Hallo, ni nani?
Sasa elfu tatu ndio mnakaa mkinisumbua
Elfu tatu,, aaaiiii
Tulieni bwana

Tala wamekuweka CRB
Mkopa wamekuweka CRB
Branchi wamekuweka CRB
Mshwari wamekuweka CRB, umekwisha

Lakini mi nasemanga
Afadhali kukula healthy, healthy
Hii mambo ya nyama Kwanza hii nyama ndio inaleta cancer
Kasukuma na kaugali,,eeh alafu unateremsha tu maji

December ikujayo kula na adabu
December ikujayo kula na adabu
January isikupate kama Kavese
January isikupate kama Kavese, wacha utoto

Hallo, Hallo mama, mum
Nakuja,eeh nakuja
nitarudi February

Ona unaomba omba kama Kenya
Wewe unaomba omba kama Kenya
Nyimbo zitatolewa sasa juu yako
Nyimbo zitatolewa sasa juu yako, nimemalizaa

Eeh, Hallo December ulikuwa unapop champagne Sasa unafeel pain kwa buruwein
Hallo, ati ulikuwa unaspin na mayengs    Sasa umeishiwa na mawengs
December ulikuwa unasema wekelea kilo  Sasa unasikia uzito wa maisha

Sasa Pambana Lyrics Credit: Jasper Murume

SING TO: Banana Lyrics – Magix Enga Ft Arrow Bwoy & Odi wa murang’a

Previous articleEbenezer Lyrics – Ben Pol – New Song 2020
Next articleZabwa Lyrics – Hamadai – New Song 2020