Home NEWS Rege Lyrics – MCA Tricky Ft Rue Baby

Rege Lyrics – MCA Tricky Ft Rue Baby

0
Rege Lyrics

Rege Lyrics by MCA Tricky and Rue Baby – Download Mp3 Audio

Verse One

Tricky tena sana
Rue Baby na Tricky de
Ooh yeah

Napenda sana mboni
Akothee alizaa mtoi
Unanipendeza pendeza
Chaguo langu ni wewe

Nakupenda kipenzi
Ata sitaki mwingine
Unanipendeza pendeza
Chaguo langu ni wewe

Boy kwanza sijakueleza
Sio makosa kupenda
Niamini I got a right for you
And I’m sure tutapendana

Tukipata tutakula
Tukikosa pia sawa
Nitavumilia beiby
As long as niko nawe

Okay na Migori twenzetu
Tumwone mama, Akothee mama,nampenda sana
Wakipiga domo na kusengenya
Usiku watalala

Kipenzi nakupenda sana
Twende kwa mama, Akothee mama
Wakipiga domo na kusengenya
Usiku watalala

Chorus

Maana tunao

Tunapenda rege
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Re gee! ge! ge!

Tunapenda rege
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Re gee! ge! ge!

Verse Two

Watu wako na usoro
Wanapenda tu nikiwa single
Lakini mi ni wako wako
Nitakupa mapenzi ya moto moto….

And u better tell them that you mine
Wangu mtima wakudai
We ni wangu mi ni wako
Wenye vitina na wanyongwe na mihogo

Eeeh baby nakupendaga sana
Nataka unitunzie nyumba
Ooh nitunzie nyumba
Ooh nitunzie nyumba

Kumanga manga niliwachanga
Nataka unitunzie nyumba
Ooh nitunzie nyumba
Ooh nitunzie nyumba

Basi Migori twenzetu
Tumwone mama, Akothee mama,nampenda sana
Wakipiga domo na kusengenya
Usiku watalala

Kipenzi nakupenda sana
Twende kwa mama, Akothee mama
Wakipiga domo kwa kusengenya
Usiku watalala

Chorus

Maana tunao

Tunapenda rege
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Re gee! ge! ge!

Tunapenda rege
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Tunapenda
Rege
Tunapenda
Re gee! ge! ge!

Basi baby nikatikie
Kati katika kata
Kati kati katika kata
Mama katika kata
Ooh baby katika kata

When you hold on to me, kata
Unanimada mimi kata
We ndo unanitosha baby kata
Ooh kata, kata

Rege Lyrics by MCA Tricky and Rue Baby

ALSO, SING TO – Utawezana Lyrics – Femi One Ft Mejja

Previous articleUtawezana Lyrics – Femi One Ft Mejja
Next articleVanilla Lyrics – Ethic Entertainment