Home NEWS Raha Lyrics – Zuchu

Raha Lyrics – Zuchu

0
Raha Lyrics

Raha Lyrics by Zuchu – Download Mp3 Audio

Raha Lyrics Verse One

Mmmmm
Lalala mmmm
Lalala Ayolizer
Mmmm
Lalala mmmm

Yaani kwa sauti kasema deka, deka
Na mimi najiachia
Kanipa shuruti la kumteka, teka
Silaha kanigawia

Mbezi Kimara, hunipeleka peleka
Mpaka mwisho hashuki, hashuki
Kiungo imara hunipenyeka penyeka
Kwa ya nguvu mashuti, mashuti

Aaah kaniweka darasani
Kunifundisha vizuri
Mengi hayajulikani
Yataka kuyakariri

Kanichorea ramani
Kopa lenye nyingi siri
Nyekundu nje na ndani
Rangi yake zikifuriji

Chorus

Raha, kupendwa raha
Aah kupendwa raha
Raha, jamani raha
Naona raha

Raha, kupendwa raha
Kupendwa raha
Raha, jamani raha

Raha Lyrics Verse Two

Eti niende msituni
Zaralinge na mate pwi nikamroge
Abadan, abadan

Penzi lichanje mizaituni
Kwaviringe na kuziki linoge
Abadan, abadan

Vineno vya kisirani
Kafumwa na mafulani
Mweupe mara kijani
Inawahusu nini?

Vipimo viso mizani
Kutwa kwenu midomoni
Vimewakaa vichwani
Mtumezee Quinine

Ndege ya asili ya mbuga
Kufugwa hawezekani
Mithili akivuruga
Akaumbiwa kutamani

Ati natafuta mboga
Japo ata mali bandani
Enda tenzi sina woga
Atarejea ngamani

Chorus

Raha, kupendwa raha
Aah kupendwa raha
Raha, jamani raha
Naona raha

Raha, kupendwa raha
Kupendwa raha
Raha, jamani raha

Aaah, aaah, aaah

Wasafi

Raha Lyrics by Zuchu

ALSO, SING TO – Mauzauza Lyrics – Zuchu Ft Khadija Kopa

Previous articleMauzauza Lyrics – Zuchu Ft Khadija Kopa
Next articleNisamehe Lyrics – Zuchu