Home GENERAL Poa Poa Lyrics – Beka Flavour – New Song 2020

Poa Poa Lyrics – Beka Flavour – New Song 2020

0
Poa Poa Lyrics

Poa Poa Lyrics – Beka Flavour – Download Mp3 Audio

Verse One

Kuna mengi tulipanga
Kipindi nipo na yeye(Na yeye)
Ila akaja pangua
Akayavuruga yale(Yeyeyeyeee)

Kusema za ukweli nimepata pigo
Moyo umetoboka inauma figo
Kichwa changu mwenyewe naona mzigo
Oooh

Vipi nikwepe nisikonde
Ili nisipate taabu mi ni mnyonge
Maana mawazo nusura nijinyonge
Ila no no no imani inakataa

Siwezi Taarab nimponde
Ikaja kuwa sababu watu waongee
Vinyago kama mpingo na wachonge
Ila no no no moyo unakataa

Chorus

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo?(Poa Poa)

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo mie?(Poa Poa)

Verse Two

Kama kupenda nilimpenda
Sikuchunguza kasoro
Za kwangu ndogo ndogo zimemshinda
Akachanganya kongoro

Limevuja pakacha
Siamini ameniacha doro
Eti mzee wa matakataka
Na mimi hatuna kasoro

Kwa giza totoro
Kaniacha kwa chochoro
Nacheza dombolo
Mwenyewe bila solo
Hakuwaza dada
Kwamba kuna tomorrow
(Mmmh mmmh)

Vipi nikwepe nisikonde
Ili nisipate taabu mi ni mnyonge
Maana mawazo nusura nijinyonge
Ila no no no imani inakataa

Siwezi Taarab nimponde
Ikaja kuwa sababu watu waongee
Vinyago kama mpingo na wachonge
Ila no no no moyo unakataa

Chorus

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo?(Poa Poa)

Mi nachukulia tu(Poa Poa)
Siwezi weka kwenye moyo(Poa Poa)
Mbona kawaidaa(Poa Poa)
Nitafanya nini kibogoyo mie?(Poa Poa)

Inaniuma sina la kufanya
Mama ooh, mama ooh, mama ooh
Inaniuma sina la kufanya
Dada ooh, dada ooh, dada ooh

Itabidi nizoee
Poa poa, poa poa, Poa poa, poa poa
Poa poa, poa poa

(Smart Music)
Mafia!

Poa Poa Lyrics Credit – Beka Flavour

ALSO, SING TO – Sun Day Lyrics – Mo Music – New Song 2020

Previous articleSanaipei Tande Biography, Age, Career, Facts, Songs, News
Next articleShrappin Jinja Lyrics – Boutross Ft Dope I Mean – Song 2020