Home NEWS Ngwati Lyrics – Magix Enga ft Ex Ray – New Song Jan...

Ngwati Lyrics – Magix Enga ft Ex Ray – New Song Jan 2020

0
Ngwati Lyrics
Ngwati Lyrics

Ngwati Lyrics – Magix Enga ft Ex Ray

Hii ni ya watu wazima na si ya watoto
Before verse toa id shika na mkono

Verse One

Nishai ona remix kubwa nikasema ghai
Wooi ghai nikaiva ngwai
Wooi ghai nikaseti ngwati
Watu wakipendana wengine mbona ni mabaty
Mabaty mabaty mabaty mabaty

Madem wa masponyo niko na kiswali
Njoti zao kweli zi hukuwa maji maji
Ama hujui hadi mpaka hadi atoe suruali
Na huyo ni gukaa ama we humuita chali

Ooh basi sasa twende basi next stopping
Ushaifanya stingo hadi yeye akacopy
Alicheki dredi ona kamenyonji
Kuja home interview apa ntakuhoji

Alibambwa na nyaru wakaona wamwachilie stress free
Kamau akaona ajiachilie akaweka bash ikajaa maboy makwanky
Na ngoko mmoja na imejaza taxing eeh
Heshima ndogo ndogo jo me huwaga sipendi

Napenda kidem kina mapaja kisexy
Kilocal kinapenda mangwati
Na vile joo mi ni fan wa ngwati

Chorus

Ngwati ngwati ngwati ya wanoi
Wote huriadana wakiwa noi
Wote wanataka rungu ya moi
Ngwati ngwati ngwati aaaah

Ngwati ngwati tingo umeze nyongi
Tingo na ngwati ni kama movie
Sai saa ngapi hata hajui
Alitekwa akajipata Kitui

Ngwati Lyrics Verse Two

Mama Nyanduse hujui jo ni wa punyeto
Ye hutumia mafuta saa zingine hutumia dettol
Ye hutumia blueband haki we ni mgentle
Anapenda mkius inakaa kama Gecko

Wiki wiki mi hukulia hadi next door
Ukipenda umadhe sana we ni motherfucker
Niko high view we uko viusasa
Huna style different ka mtu ako pasapasa

Ati bad bad mi ni badman
Wanapenda vile joo nawakanyaga
Sema Magix Baba Lao, Magix Baba Lao
Sema Enga Baba Lao, Enga Baba Lao

Chorus

Ngwati ngwati ngwati ya wanoi
Wote huriadana wakiwa noi
Wote wanataka rungu ya moi
Ngwati ngwati ngwati aaaah

Ngwati ngwati tingo umeze nyongi
Tingo na ngwati ni kama movie
Sai saa ngapi hata hajui
Alitekwa akajipata Kitui

Ngwati ngwati ngwati ya wanoi
Wote huriadana wakiwa noi
Wote wanataka rungu ya moi
Ngwati ngwati ngwati aaaah

Ngwati Lyrics Verse Three

Ati bad bad mi ni badman
Wanapenda vile joo nawakanyaga
Sema Magix Baba Lao, Magix Baba Lao
Sema Enga Baba Lao, Enga Baba Lao

Nishai ona remix kubwa nikasema ghai
Wooi ghai nikaiva ngwai
Wooi ghai nikaseti ngwati
Watu wakipendana wengine mbona ni mabaty
Mabaty mabaty mabaty mabaty

Credit: Magix Enga and Ex Ray

ALSO, SING TO: Zima Puliza Lyrics – Jabidii – New Song Jan 2020