Home NEWS Ndoto Lyrics – Hamis Bss – New Song 2020

Ndoto Lyrics – Hamis Bss – New Song 2020

0
Ndoto Lyrics

Ndoto Lyrics – Hamis Bss

Ndoto Lyrics Verse One

Nahodha boti inazama
Bahari haina pa kushikia
Kina kirefu nitazama
Nawe ndo msaada unanikimbia

Bahari, kwa jua ina miti
Paanu ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya
Paanu ni makonde va ndingu mahala mpaka ulaya

Chorus

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana aaah

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana aaah

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Ndoto Lyrics Verse Two

Nitaishi na wewe
I swear sitamuona yeyote
Ingawaje ukiondoka utaniacha kilio tuu
Usiku na mchana aaah

Mihogo karanga ndo ngingingi
Na kwenye boxer ndo ndindindi
Chemu chemu mabonde vigingingi
Kuja kwa maji ndo mawimbi

Ai wewe naumia sana aah
Mwenyewe najua unaona

Chorus

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana aaah

Ndoto za usiku zanitoka mwenzio
Aii mama
Na sabuni ndo kimbilio
Usiku na mchana aaah

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

This is how, how I feel
Ingawaje unanionaga chizi
This is how, how I feel
Chizi kama ndizi

Closing Verse

Aiii oooh
Chizi kama ndizi
Unanionaga chizi chizi
Ah we wewee, aii ooh we dada

Chizi kama ndizi
Chizi kama ndizi
Mwenzio oooh, aaah eeeh
aaah eeeh chizi kama ndizi eeh

Credit: Hamis Bss

ALSO, SING TO: Zabwa Lyrics – Hamadai – New Song 2020