Home GENERAL Nauelewa Lyrics – Otile Brown – New Song 2019

Nauelewa Lyrics – Otile Brown – New Song 2019

0
Nauelewa Lyrics

Nauelewa Lyrics – Otile Brown

Nauelewa Lyrics Verse One

Inachohitaji moyo
Hata akili haiwezi baini
Ila cha mtima cha moyo
Hata kama sio kizuri
Kwako nazama mazima
Sioni wala siambiliki
Umekuchagua mtima
Thamani yako haina kifani

It takes two two tango
Sako kwa bako
Tena unikumbate usiache
Mi wako peke yako
It takes two two tango(Tango)
Sako kwa bako(Bako)
Tena unikumbate usiache
Mi wako peke yako

Chorus

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa
Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa

Nauelewa Lyrics Verse Two

Sasa washa ndololi(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone
Mmmh
Ng’amua Wema kwa Magu(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh

Shingo Nyarwanda kigali(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh
Mauno ya Uganda Kangu(Washa)
Oooh washa(Washa)
Washa tumwone(Washa)
Mmmh

It takes two two tango
Sako kwa bako
Tena unikumbate usiache
Mi wako peke yako
It takes two two tango(Tango)
Sako kwa bako(Bako)
Tena unikumbate usiache
Mi wako peke yako

Chorus

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa
Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa

Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa
Maana huu mziki(Nauelewa)
Beiby(Nauelewa)
Mziki hatari(Nauelewa)
Nauelewa

ALSO, SING TO Jegi Lyrics – Rico Gang Ft VDJ Jones – New Song 2019

Previous article5 Things to Consider Before Buying a New Laptop in Kenya
Next articleList Of The Cheapest IGCSE Schools in Kenya