Home NEWS Naenjoy Lyrics – Aslay – New Song 2019

Naenjoy Lyrics – Aslay – New Song 2019

0
Naenjoy Lyrics

Naenjoy Lyrics – Aslay

Verse One

Wa leo
mimi wa leo
Wa leo
sio wa jana
Aslay

Maisha ndo yale yale Aah
kuteswa ni kama funzo Mmh
mengine tuyasamehe Oooh
tusiweke viulizo

Kikubwa uhai
Nashukuru ninao sijakufa
Ila kuhusu mapenzi sitaki show
Nimeyakuta

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena
kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena

mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena
kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima Eeh eeh eeh
Bora nitulie  Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Chorus

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama Oooh naenjoy, naenjoy sana

ALSO, SING TO Uno Lyrics – Harmonize – New Song 2019

Verse Two

Nakukumbatia mtafuna roho yake
Asikwambie mtu, mtu yeyote Ah,
jamani shuka zina joto lake A
sikwambie mtu, kitu chochote

Kugandana gandana Kuzuga tunapendana
Mwisho twaaza kuulizana
Sitaki Mila sizitaki nyama
Kupenda nimesimama Moyo wangu umegoma Hautaki ng’o

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena
kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena

mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena
utwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh
Bora nitulie
Umri wangu mi bado mdogo Nisitake ya watu wazima

Chorus

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama Oooh naenjoy, naenjoy sana

ALSO, SING TO Sugua Lyrics – JUX feat. DIAMOND PLATNUMZ

CREDIT

ASLAY

Leave a Reply