My Bae Lyrics – Alphajiri – Download Mp3 Audio
Verse One
Navyoridhika nikikuona
Napokuona utamu wa moyo
kama maradhi mi napona
Nikikuona umekuchagua moyo
Maneno yangu uliyaamini
Hukuenda popote uliridhia sawa
Hukusikizaga wahuni
Ukawaacha hao wote ukaniona sawa
Baby lemme love you, Love you
I cannot be without you, Without you
Hili pete ishara I love you, Love you
Uwe na jina langu
Chorus
My bae, my bae, my bae
Ushaniteka teka moyo wangu
My bae, my bae, my bae
Na ni furaha wewe kuwa wangu
My bae, my bae, my bae
Ushaniteka teka moyo wangu
My bae, my bae, my bae
Na ni furaha wewe kuwa wangu
Ashajulikana ashapatikana
Ashajulikana yeye ndio wangu
Ashapatikana, ashajulikana
Ashajulikana
Verse Two
Mimi nawe ndio twajua
Kile tunacho ndani
So baby come and give me your love
Mi nishakueka moyoni
Wazazi wangu wako waone nikikuchukua, Chukua
Ukinijia wakupambie kwa maua
Machozi ya furaha laiti ungejua, Ungejua
Twakata keki leo twajishaua
Baby lemme love you, Love you
I cannot be without you, Without you
Hili pete ishara I love you, Love you
Uwe na jina langu
Chorus
My bae, my bae, my bae
Ushaniteka teka moyo wangu
My bae, my bae, my bae
Na ni furaha wewe kuwa wangu
My bae, my bae, my bae
Ushaniteka teka moyo wangu
My bae, my bae, my bae
Na ni furaha wewe kuwa wangu
My bae, my bae, my bae
Ushaniteka teka moyo wangu
My bae, my bae, my bae
Na ni furaha wewe kuwa wangu
Ashajulikana ashapatikana
Ashajulikana yeye ndio wangu
Ashapatikana, ashajulikana
Ashajulikana
My Bae Lyrics Credit – Alphajiri
ALSO, SING TO – Tuheshimu Ndoa Lyrics – Stivo Simple Boy – New Song 2020