Home NEWS Muongo Lyrics – Barnaba Classic

Muongo Lyrics – Barnaba Classic

0
Muongo Lyrics

Muongo Lyrics by Barnaba Classic – Download Mp3 Audio

Muongo Lyrics Verse One

Masikini mimi moyo wangu pasu pasu
Kwani nilivyompenda singefanya machafu
Penzi kanichimba chimba kama viatu
Yaani bila huruma akatupa na watatu

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung’oa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili
Mgusane gusane yenu miili
You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani
Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Chorus

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo

Muongo Lyrics Verse Two

Aaah, aah, aah
Acha kulilia pendo maana ushenzi
Kila siku wanazaliwa dada
Wanazaliwa kaka

Ridhiki mafungu saba
Ikizidi na nne bahati
Na bahati hujaga kwa nyakati
Walahi

Kwake niliwekeza upendo
Ye hakuwa na malengo
Penzi akaweka na pengo
Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung’oa utumbo
Akapunguza upendo
Akaninyima na tendo
Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili
Mgusane gusane yenu miili
You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani
Akanifanya hayawani
Kwa kuniacha njiani
Masikini kumbe penzi langu bure

Chorus

Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo
Muongo, muongo, muongo
Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo
Visa biza bina wanichora
Muongo, muongo, muongo
Kumbe muongo

Muongo Lyrics by Barnaba Classic

ALSO, SING TO – I Feel Lyrics – One Six

Previous articleChe Che Lyrics – Octopizzo Ft Barak Jacuzzi
Next articleSukuma Ndinga Remix Lyrics – Rosa Ree Ft Rayvanny