Home GENERAL Miss Buza Lyrics – Rayvanny Ft Dulla Makabila – Official Lyrics

Miss Buza Lyrics – Rayvanny Ft Dulla Makabila – Official Lyrics

0
Miss Buza Lyrics
Miss Buza Rayvanny

Miss Buza Lyrics – Rayvanny Ft Dulla Makabila – Download the Song

Dj kidogodogo

Huyo miss buza
Mama miss buza
Jamani miss buza
Nampenda miss buza

Huyo miss buza
Mama miss buza
Jamani miss buza
Nampenda miss buza

Verse One

Rangi yake ya vidole Kama ndizi za kuchoma
Harufu yake ya wigi unapata Corona
Hee kikipigwa kigodoro lazima utamuona
Shughuli hajaalikwa kijola ka shashola

Ila chumbani si gogo mwali
Mbuzi kagoma kifo cha mende chali
Uvunguni sakafu juu ya dari
Ua mtoto anaupaka asali mama

Akiona simu anapita nayo
Eeh akiona walleti anapita nayo
Eeh akiona dundo kali anapita nayo
Yaani akiona begi kali anapita nayo

Ana msitu kwapani dala kifuani
Kwenye dala dala anapita dirishani
Ghetto anazima taa vipele mapajani
Ana dera jipya chupi la zamani
Ayoyoyo

Chorus

Huyo miss buza
Mama miss buza
Jamani miss buza
Nampenda miss buza

Huyo miss buza
Mama miss buza
Jamani miss buza
Nampenda miss buza

Verse Two

Haya kelele ya kwanza kwa missi yake
We
Kelele ya pili kwa missi yake
We we
Kelele ya tatu kwa missi yake
We we wewe

Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua
Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua

Akivua shati muache, muache
Ameamua muache, muache
Akivua wigi muache, muache
Ameamua muache, muache

Katikati nataka loshindikana
Katikati nataka chura nyembamba
Mwanangu katikati nataka loshindikana
Katikati nataka chura nyembamba

Verse Three

Basi twende tunaenda kushoto
Wanangu kushoto, wahuni kushoto, Masisela
Turudi kulia, wanangu kulia
Masela kulia, wanangu

Basi tuende tunaenda kushoto
Eeh kushoto, wanangu kushoto, iii kushoto
Basi tuende twaenda kulia, wanangu kulia
Ati ati ati ati atia

Basi tuende teremka we mwanagu teremka
Teremka shika mabega teremka
Bwana teremka masisela teremka
Teremka shika kiuno teremka

Verse Four

We mwanangu teremka mama teremka
Teremka shika magoti teremka
Basi tuende nioneshe unavyochumaga mchicha tembele
Nioneshe unavyochumaga mchicha
Mama nioneshe unavyochumaga mchicha tembele
Nioneshe unavyochumaga mchicha

Oya tuende kama unalo tingisha
We mama tingisha, tuone tingisha we dada tingisha
Kama unalo tingisha we mama tingisha
Tuone tingisha we dada tingisha

Basi tuende shosho we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo
We mwanangu shosho we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo

Basi tuende kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning’inia kama popo
Kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning’inia kama popo

Na ka chini unakwendaa unakwendaa unakwenda
Shika magoti unashukaa unashukaa unashuka
Na ka chini unakwendaa unakwendaa unakwenda
Shika magoti unashukaa unashukaa unashuka

Basi tuende timua vumbi timua shemeji atafua
Timua vumbi timua shemeji atafua
Bwana timua vumbi timua shemeji atafua
Timua tena timua shemeji atafua

Miss Buza Lyrics Credit – Rayvanny and Dulla Makabila

ALSO, SING TO – Kivuruge Lyrics – Nandy – Official Music Lyrics

Previous articleBest Business Opportunities for Youth in Kenya
Next articleRada Lyrics – Guardian Angel – Official Music Lyrics