MAUMIVU YA JARIBU LYRICS BY MARTHA MWAIPAJA
Eee Yesu wangu
Japo jaribu
Limeruhusiwa na wewe Mungu
Hili jaribu, linaumiza moyo
Japo jaribu
Limeruhusiwa na wewe Mwenyewe
Hili jaribu, linatesa moyo
Japo maumivu haya
Yesu wayajua
Moyo wangu unateseka
Japo haya yote
Wewe pekee wajua
Lakini moyo wangu
Unatesekaa
Naishi katikati ya watu
Wasiojua ni nini napitia
Natembea katikati ya watu
Wasiojua maumivu yangu
Kwa sababu ya mateso niliyonayo
Nimejaribu kuelezea wengi
Pamoja na kuwaeleza
Bado hawajaelewa ninavyoteseka
Nilijuwa kwa kuwaeleza kwangu
Watajuwa nitesekavyo
Hawakujuwaa
Japo maumivu haya
Wewe Yesu wayajua
Lakini moyo unatesekaa
Naomba kwa unyenyekevu
Usiniache jaribuni
Kanimezaa
Baba yangu mimi nimekubali kupita
Lakini, usiniachee
Nimekubali kupitia
Usiniache nikamezwa na jaribu
Japo Ibrahimu
Aliitwa baba wa Imani
Moyo wake ulitesekaa
Japo Ibrahimu
Ulisema naye
Ukamwambia utampa watoto
Bado alilia
Pamoja na kwamba
Ulisema nae mwenyewe
Alipochelewa Isaka
Ibrahimu kalia
Japo alijuwa
Ni wewe baba utampatia
Ibrahimu moyo uliuma
Kwa sababu Ibrahimu
Alichelewa kupata mtoto
Moyo wake uliteseka
Japo alijuwa
Isaka ni mtoto wa pekee
Kwa sababu alichelewa alilia
Alijuwa, utampa watoto wazuri
Lakini moyo wa Ibrahimu
Ulilia
Pamoja na kwamba unatufundisha
Majaribu lazima
Lakini mioyo inauma
Usituache Yesu Usituache Wanao
Usituache wanao
Tukapotea
Usituache Baba Usituache we baba
Usituache wanao
Tukaangamia
Oooooh
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Pigania Yesu
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Jaribu linatesa
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Tusimezwe na jaribu
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Nena na Sisi Yesu
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Vita ni kali sana
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Eeeeh Baba
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
Usiache Wababa
Usituache Yesu Usituache Baba
Usituache wanao
Tukapotea
MAUMIVU YA JARIBU LYRICS BY MARTHA MWAIPAJA
FOLLOW MARTHA MWAIPAJA ON YOUTUBE
ALSO, SING TO, WAGENI LYRICS – PAUL CLEMENT