Home GENERAL Mare Mare Lyrics – Matata Ft Lamaz Span K.O.B

Mare Mare Lyrics – Matata Ft Lamaz Span K.O.B

0
Mare Mare Lyrics

Mare Mare Lyrics – Matata Ft Lamaz Span K.O.B – Download MP3 Audio

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Verse One

Mami we ni mali sio malimali
Ndani ya dera kama msumari
Niko na wish na sio gari
Na ka ni ngoko mimi nishamarry

Mavela zimeshika kijela, msela
Put your hand in the air make a feast
Mandela kwa jela na Stella ndo qwela
Ka ni ngoma acapella ka ni mbosho  kwa hela Nikuonyeshe umbrella

Niekee man,
shafashi na mbosho
Niekee man,
nyendete kigoco
Niekee man,
karedio ga coro
Niekee man, niekee man, niekee man

Chorus

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Verse Two

Adam na Hawa pale Eden
Wako majan madawa wanashasha ngale
Wameshikwa na njaa wanashindwa wakule gani
Na kuna nyoka inamwaonyesha kule katikati sare

Staki noma hii chakula ni ngori
Imebarikiwa sana lakini ina ngori
Niyakusare sikumarry mbogi si kimonyoski
Na ni bush ina burn kushinda ile ya Moses

Niekee man,
shafashi na mbosho
Niekee man,
nyendete kigoco
Niekee man,
karedio ga coro
Niekee man, niekee man, niekee man

Chorus

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Verse Three

Niulize kanakaa vile kanakaa kwa pichaa
Au toto ni mafilter?
Na nikitokea nako katoto katachachishaa
Itabidi nimekaficha

Kanaweza pika chapo na vyombo safisha
Au form zake ni mapizza?Buda boss
Kila saa baby can we take a picture
Au katachoreshwa gizaa

Hako kakitu mi nakatamani
Lakini kitu nayo inataka money
Aki ya nani but hii toto mali
So mi aki ya nani, so mi toto mali

Chorus

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Haka ka nguna ni kamali au mare mare
Ni kamali au mare mare
Haka ka nguna ni kangale au shashamane
Ni kangale au shashamane

Mare Mare Lyrics Credit – Matata and Lamaz Span K.O.B

ALSO, SING TO – Shrappin Jinja Lyrics – Boutross Ft Dope I Mean – Song 2020

Previous articleShrappin Jinja Lyrics – Boutross Ft Dope I Mean – Song 2020
Next articleZimenishika Lyrics – Zzero Sufuri – Song 2019