Mapito Lyrics by Mr. Seed – Download Mp3 Audio
Verse One
Vitu unafanya haziendi, haziendi
Haujakula from weekendi, from weekendi
Unaumia hapa ndani, hapa ndani
Na bado marafiki wanapretendi, wanapretendi
Ndugu wa karibu anakusema sema vibaya
Ndugu wa karibu anakuekea uongo
Hawajui unachopitia ae unachokiona ee
Hawajui unachopitia ae unachokiona ee
Mungu yupo
Na hajalala kamwe
Mungu yupo
Na hajalala kamwe
Chorus
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Verse Two
Ukianguka simama endelea wewe
Ukiumia muombe mungu baba wewe
Hautakufa kabla baraka zako wewe
Mungu ni mkuu kuliko shida zako we we we
Mm kama Ayubu alimuona utamuona
Na vidonda zilipona eeh eh, utapona we
Na Lazaro kafufuka eeh eh, muaminie
Wanao kucheka eeh eh, watamuona maishani mwako
Chorus
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Ni mapito tu yanapita
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Hata kama umefinyiliwa wewe
Mungu anatulinda
Mapito Lyrics by Mr. Seed
ALSO, SING TO – Foursome Lyrics – Magix Enga Ft Benzema, Boondocks Gang