Home GENERAL Maombi Lyrics – NADIA MUKAMI

Maombi Lyrics – NADIA MUKAMI

0
Maombi Lyrics
nadia mukami maombi

Maombi Lyrics – NADIA MUKAMI 1

Nadia, Hoya Hoya Hoya
Hoya Hoya Hoya
Hoya Hoya Hoya

Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha
Nikitoa shukurani hadharani wakasema najigamba
Hao binadamu walinipa wiki
Sasa imepita miaka bado wanasubiri
Kazi ya mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa

Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi
Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi

Hoya Hoya Hoya
Hoya Hoya Hoya
Hoya Hoya Hoya

Maombi Lyrics Nadia Mukami 2

Na mikono nitainua magoti nipige
Nimweleze jinsi alivyotenda katika maisha yangu
Kazi ya mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa
Kazi ya mungu kweli haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa

Chorus

Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi
Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi

Maombi Lyrics Nadia Mukami 3

Maneno ya wanadamu
Yalinilenga kama mishale
Ila mungu hawezi kubali uanguke
Alichoanzisha leo lazima atakamilisha wee

Kazi ya mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa
Kazi ya mungu kweli haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa

Chorus

Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi
Sio juju ni maombi, Ni maombi
Si kelele ni maombi, Ni maombi

Si uchawi, Ni maombi
Ooh si ulevi, Ni maombi
Si kwa nguvu zangu mie, Ni maombi
Si ka nadia hata hatambii, Ni maombi
Oooh ni maombi, Ni maombi
Si kwa nguvu zangu, ni maombi

Kazi ya mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa
Kazi ya mungu kweli haina makosa
Ingekuwa binadamu wanatoa ningekosa

ALSO, SING TO INDE Lyrics – Breeder Lw, Jimito & Benzema( Ochungulo)

Credit

NADIA MUKAMI

Previous articleMagix Enga Biography, Studio, Songs, Beats, Producer
Next articleList of Best Teachers Training Colleges TTC in Kenya