Home NEWS Maji Maji Lyrics – Ethic Entertainment

Maji Maji Lyrics – Ethic Entertainment

0
Maji Maji Lyrics

Maji Maji Lyrics – Ethic Entertainment

Chorus – Rekless

Ukinitaka na nimekata jua niko maji maji aah
Maji maji aah
Zikishuka naona mi sijali sijali aah
Sijali ja

Cheki cheki ukinikata naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah
Ukinikata naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah

Verse One – Seska

Unaleta nguna dunda na haujakafunga
Mi nakuchunia huyo nguna nafumba nadunga
Akitekwa na kabuda anachezewa rhumba
Baadae akule maspamo zimekuwa unga
Umeumbwa umeumbwa
Kama goks imefika sai mi huipepeta
Kwa nyumba na dildo nadeveva
Ju nimestunya kuliko ile imebebwa

Chorus – Rekless

Kata chwa niko maji maji aah
Maji maji aah
Zikishuka naona mi sijali sijali aah
Sijali ja

Ukinikata naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah
Ukinikata naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah

Verse Two – SWAT

Nakatakata dania naseti kwa kinyaru
Kachumbari raru ukimanga kina Nyambu
Naenda fisa fisa kipara kama Budha
Thutha nyuma shika ukuta
Tingiza maduba mdogo mdogo sina pupa
Hadi che aluta Mercy Njeri tu nutha
Kukata kutaka kukataa tu kwa bukla
Bukla bukla bukla

ALSO, SING TO 2 BY 2 Lyrics – VDJ Jones, Timmy Tdat, Volkhano, Wendee

Chorus – Rekless

Ukinitaka na nimekata jua niko maji maji aah
Maji maji aah
Zikishuka naona mi sijali sijali aah
Sijali ja

Ukinitaka naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah
Ukinitaka naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah

Verse Three – Zilla

Msupa pika nikam kwako
Nikule pizza ndondo na mbosho
Mi ndo hukinda jaba kwa mkoko
Na hii chuma lazma iland kwako
Mi ni dinda nyang’anya ndondoka
Dididinda na nduve kwa ukuta
Na matinda na kiondo ni mogoka
Na matinda na kiondo ni mogoka

Chorus – Rekless

Ukinitaka na nimekata jua niko maji maji aah
Maji maji aah
Zikishuka naona mi sijali sijali aah
Sijali ja

Ukinitaka naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah
Ukinitaka naona mi staki taki aah
Sitaki sitaki aah

Credit

Maji Maji Lyrics – Ethic Entertainment

Leave a Reply