Home NEWS Maharagwe Hatari Lyrics Hodari Parody – Dogo Charlie

Maharagwe Hatari Lyrics Hodari Parody – Dogo Charlie

0
Maharagwe Hatari Lyrics

Maharagwe Hatari Lyrics Hodari Parody by Dogo Charlie – Download Mp3 Audio

Tuende tuende tupange liney liney
Ninawashwa washwa Aah aaaaaah
Walinipa vidonge vya mahindi mahindi
Nikatapatapa aaah aaaaaaaah

Mmm
Mi nawe tutakosana usiniambie ujinga
Mi niache kusimama ati nisimame wima
We bana tutakosana sitaki fitina
Ukichoka kusimama waweza inama

Nalegea
Nikisimama nje ya choo, nje ya choo
Nalemewa
Harufu mbaya yangu na yako, yangu na yako

Maharagwe hatari
Hatari kwenye tumbo
Jamani hatari
Hatari kwenye tumbo

Maharagwe ya jirani hatari
Hatari kwenye tumbo
Usile kwa jirani ni hatari
Hatari kwenye tumbo

Na curfew ya jana
Ilifanya niende kwa neighbour
Chumbani nikapata
Wamepika maharagwe kwa wingi

Nikapewa sahani mbili
Nikawashwa na pilipili
Supu hata sikufikiri
Kunywa nishibe

Maharagwe yake kumbe ni mbichi
Nikawashwa dakika mbili
Nani sasa ningelaumu
Kama si yeye

Nikakesha sikulala
Usiku wa manane jana
Mke wangu akakataa
Tusifunikane Kanga

Nikafukuzwa kuenda huko
Ndio nisilale kwa kitanda
Harufu niliotoa
Ilimfanya akakasirika

Nalegea
Nikisimama nje ya choo, nje ya choo
Nalemewa
Harufu mbaya yangu na yako, yangu na yako

Maharagwe hatari
Hatari kwenye tumbo
Jamani hatari
Hatari kwenye tumbo

Maharagwe ya jirani hatari
Hatari kwenye tumbo
Usile kwa jirani ni hatari
Hatari kwenye tumbo

Kweli maharagwe hatari
Hatari kwenye tumbo
Jamani hatari
Hatari kwenye tumbo

Maharagwe mbichi hatari
Hatari kwenye tumbo
Maharagwe mbichi ni hatari
Hatari kwenye tumbo

Dogo charlie nawaambia ni hatari
Hatari kwenye tumbo
Kula kwa jirani ni hatari
Hatari kwenye tumbo

Ooh utateseka ni hatari
Hatari kwenye tumbo
Uliza mike sonko ni hatari
Hatari kwenye tumbo

Maharagwe Hatari Lyrics Hodari Parody by Dogo Charlie

ALSO, SING TO – Mapito Lyrics – Mr. Seed

Previous articleMapito Lyrics – Mr. Seed
Next articleRoll With You Lyrics – Khaligraph Jones