Lingala Na Sheng Lyrics by RICO GANG – DOWNLOAD AUDIO
Verse One
Niko idhaa ya lingala na sheng
Niko idhaa ya kuteka madem
Nko idhaa ya kupiga Sherehe
Niseti kafom ya kukata na wembe
Tukule chafua
Matumbo na sembe
Tukunywe makali
Tumeze matembe,
Unanipata
Janta na kumewaka
Madata kama ni blunder
Tunachochana tunaitana
Tunajikata kata
Kata kata, kata
Kata usiogope, kata
We mblina usijichoche
Unapiga maluku fulani boring
Ka ni fom ya kejani si unitolee
Lingala na genge si tuko wote
Tunatesa majuu
Na kote kote, Alaah!
Na kote kote
Chorus
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya kuteka madem
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake Eeh
Verse Two
Nimekafunga kama kufuli
Leta pombe si makufuli
Dem kichwa ngumu kama manduli
Through pass jo lazima nduki
Tera mos tera mos Kork achako
Mamanzi warembo emathago
Sina huruma naishi pangoo
Na nawasumbua kama Agwamboo, Hurray
Brikicho kicho, hurray
Peana kitu, hurray
Kemoda moda, hurray
Tumeshinda shida
Chorus
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya kuteka madem
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake Eeh
Verse Three
Lelelilo lelolilo eee
Iye iye mamaa heeey
Tumekuja na lingala na sheng
Tumekuja tu kupiga sherehe
2mekuja na mbogi aisee
Tunakatika mpaka chee
Tumekuja na lingala na sheng
Tumekuja tu kupiga sherehe
2mekuja na mbogi aisee
Tunakatika mpaka chee
Chorus
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya kuteka madem
Niko idhaa niko idhaa
Nko idhaa ya lingala na sheng
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake
Unipakate Sakate
Kubanjuka kila mtu na wake Eeh
Lingala Na Sheng Lyrics by RICO GANG
ALSO, SING TO – Ogopa Mungu Lyrics – MR. SEED