Home NEWS Lakini Lyrics – B2K

Lakini Lyrics – B2K

0
Lakini Lyrics

Lakini Lyrics by B2K

Verse One

Star Beat Boy…

Ahhh nimejaliwa moyo sijui upoje
Unapendaga kote sijui ikoje
Niwe muwazi nisijeficha

Kweli mimi home mwenzio
Na kama umependwa sema
Ukweli unajenga mapema
Niwe muwazi nisije fika

Wakati we umebaki na funguo
Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama nitapaliwa, ahh aahh

Ila ndo jichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya
Nitaumiaaa, aaahh aaahh

Chorus

Lakini
Sijui nipoje
Nitoe moyo niutupe huko

Na mimi
Ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini
Sijui nipoje
Nitoe moyo niutupe huko

Na mimi
Ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Verse Two

Ila moyo koma kuhangaika
Kumbe nyumbani wanaboreka
Hata mtaani wananicheka
Sijui nipoje

Kule nilisema I Love You
Na huku I Love You
Shikamoo mapenzi
Una hisia ngapi

Vile nilipenda kule
Na huku nimependa
Wewee

Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama nitapaliwa, ahh aahh

Ila ndo jichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya
Nitaumiaaa, aaahh aaahh

Chorus

Lakini
Sijui nipoje
Nitoe moyo niutupe huko

Na mimi
Ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini
Sijui nipoje
Nitoe moyo niutupe huko

Na mimi
Ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini Lyrics by B2K

ALSO, SING TO – Kaka Tuchati Lyrics – Rostam

Previous articleGidi Radio Jambo Biography and Background Info
Next articleDakika Lyrics – KUSAH