Kwaru Lyrics by Zuchu – Download Mp3 Audio
Kwaru Lyrics Verse One
Ayolizer
Mm aaah aah,
Mmm aaah
Aaaah, aah
Roho ingekuwa na macho ungejionea
Moyo haufanyi kificho ukiotea
Mimi kifigiso nacho ungeongea
Mwili wangu rojorojo nanyong’onyea
Chungu nilichopika
wamepakua wenzangu
Huruma napokutishwa
wamechukua wezangu
Na kitabu chetu cha mapenzi
Kurasa wamechanachana
Hazisomeki tena tenzi
Vimepoteza maana
Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitema
Chorus
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisu ye anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia
Kwaru Lyrics Verse Two
Eee langu tatizo
Nachuna najimaliza
Mi nakesha kumwaza
Naweweseka lake jina, ooh jina
Oooh basi kwa unyonge
Najikaza niache kulia
Maana kwake bahati sina, ooh sina
Maumivu ameipora furaha yangu
Uuuh amekwenda nayo
Na zangu mbivu zimeniozea
Hasara kwangu, oooh yatapita hayo
Mpofu moyo wangu
Ulishindwa ona
Hukuandikwa wa kwangu
Limenikaba nalitema
Chorus
Kwaru kwa kwaru kwaru
Kachukua kisu ye anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Moyo wangu unaumia
Kwaru kwa kwaru kwaru
Ye kwa nguvu anaukwarua
Kwaru kwa kwaru kwaru
Jamani moyo wangu unaumia
Kwaru Lyrics by Zuchu
ALSO, SING TO – Nisamehe Lyrics – Zuchu