Kilangakomo Lyrics by ASLAY. Download Audio
Verse One
Uvivu wa kuchagua nimeula wa chuya
Nilichagua sura, wala sikujali tabia
Na kubwa kupungua ndipo kanijia
Mateso yake kutwa namfikiria
Kumbe nimeuziwa mbuzi kwa gunia
Kwenye cover burger ndani nilikuta baghia
Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama
Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama
Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za promo zimejaa anazipitaga
Chorus
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba mdomo, naweka promo nitulie
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba mdomo, naweka promo nitulie
Verse Two
Nishaga kumbana na pazi na kazi nikakosa
Baada ya kufuma message nikamiss kutomaswa
Nishagombanaga naye ni fundi wa msasa
Kapiga msasa bedi na penzi akala kabisa
Sasa nikupe nini wewe malkia
Utulie kama nilivyotulia
Unataka nife siku hazijafikia
Hicho labda ndicho unasubiria mmmh
Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama
Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama
Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumikaga
Message anazionaga
Dhiki za problem zimejaa anazipitaga
Chorus
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Nafumba mdomo, naweka promo itulie
Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Nafumba mdomo, naweka promo itulie
Kilangakomo Lyrics by ASLAY
ALSO, SING TO – Simu Lyrics – Goodluck Gozbert