Home NEWS Kamkoba Lyrics – Mbogi Genje Ft VDJ Jones – New Song 2020

Kamkoba Lyrics – Mbogi Genje Ft VDJ Jones – New Song 2020

0
Kamkoba Lyrics

Kamkoba Lyrics – Mbogi Genje Ft VDJ Jones – Download Mp3 Audio

VDJ Jones
Mbogi Genje, Kamkoba Genje ni mbwaya
Kamkoba Genje nimbwaya
Mavo on the Beat

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Verse One

Kamsupa na kathombotha
Zilishika akavua hadi toja (Toja)
Nazigonga anadai akingoja
Nazigonga, anadai, “Sitaki moja”

Mi ndio Roro, namba saba
Mi hufunga dude zote hadi gwatha
Akajibamba, akatupa hadi rubber
Tukimada atapiga msalaba

Mi hukawia nikidandia
Na nikikam through
Utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia
Na nikikam through utanikumbatia

Chorus

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Verse Two

Digi ayiela, amenibamba
Na kuzied hio mkoba, amenimada
Na akizama, walai, amejing’ora
Kakijipa, itabaki kamewika

Kumanga uchi, uijazilie kutu
Aki, walai, ni lazima apige nduru
Chini ya waba, mchezo ni ya wanga
Utani-like, mi ni super striker

Nai-kill, utawika mbaya
Hii ni dudu, utawika mbaya
Utashinda ukiniita mbaya
(Na mi nitaitika mbaya!)

Chorus

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Verse Three

Na-realise mi hukwaria zireu
Dangulo, nimezunda ka wa mbwegze
Umojing, kwa wazing, Militan kuwa-sting kama bee
Wako steam, niko biz, Mr Chingri

Rima zote kuwariet, wanabaki na matiash
Ni kutiaf, kujichapa, kuwatoka tuna-hype
Kuwa mashup, kuwanyam, zime-time
Mbogi Genge to di top, kuwashikisha na uras

Nawatepa na machieng’
Niko riang’, niko rieng’, utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng’, utanipata Umojeng
Nawatepa na machieng’, na-nawatepa na machieng

Chorus

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba usikaweke (Usikaweke)
Kuperform,
kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)
Kuperform, kuwateka, kuwatoka (Kuwatoka)

Kamkoba Lyrics Credit – Mbogi Genje Ft VDJ Jones

ALSO, SING TO – Macondition Lyrics – Timmy Tdat Ft Magix Enga – New Song 2020