Home NEWS Jeshi Lyrics Harmonize

Jeshi Lyrics Harmonize

0
Jeshi Lyrics
Jeshi Lyrics

Jeshi Lyrics Harmonize.

Yawe Yao, ooh nananaa, mmmh

Sometimes what you doing

Can be receiving

Na huwezi kuvuna usichokipanda

Thanks God for giving

 

Ghetto sikuwa na umeme wala cable

Jeans moja t-shirt na yebo

Ati Leo namiliki lebo!????

Lebo, konde gang lebo

 

Siku zote kisichokuua

Kitakufanya uwe ngangari

Hata mwanga huwezi kumjua

So ishi nao kwa tahadhari

 

My sister sikuhizi shape ???? ananunua

We pambana upate salary ????

Ila usisahau pesa maua ????

So ukikosa hata usijali ????

 

One love ❤️ kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndio mnanunua CD

Two Love ❤️❤️ kwa wanati wa insta

Mnafanya niongeze bidii

 

Three Love ❤️❤️❤️ kwa Master na lita

Mlinifanya hasira ???? zizidi

Four love ❤️❤️❤️❤️ njia ngumu nilizopita

Mkanipa na jina, mkasema niitwe, Jeshi!

 

Konde boy Jeshi

Ila sikuhizi mnaniita Tembo

Jeshi, hata we ni Jeshi

Yaani kama huna pigo za kirembo

 

Ni Jeshi, konde boy Jeshi

Yaani wanangu wananiita Tembo

Jeshi, hata we Ni Jeshi

Yaani kama huna pigo za kirembo Ni Jeshi

 

One love ❤️ kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndio mnanunua CD

Two Love ❤️❤️ kwa wanafiki wa insta

Mnafanya niongeze bidii

 

Naamini mungu yupo, tenaa

Naongea naye japo sauti yake

Nikianguka nitainuka tenaa

So usishangae ????  why Tembo anahustle pekee yake

 

Coz I know, unapokiokota

Ndio wakati wa kutunza

Ili kesho kisijepotea????

Na unaposota ndo wakati wa kujifunza

Ni wapi ulipokosea ????

 

Sio Kama siwezi kujibizana

Ila mwenzenu nimeumbwa na subira

Cheki madili yanavyogongana

Coz nyota ???? yangu ni Libra

 

Mbona siwaoni walotumwa kunitukana

Vichwa vyao viko kibra

Tena sikuhizi hata siimbi Sana????‍????

Acha washindane na Ibraah ????

 

I say, One love ❤️ kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndio mnanunua CD

Two Love ❤️❤️ kwa wanafiki wa insta

Mnafanya niongeze bidii

 

Three Love ❤️❤️❤️ kwa Master na lita

Mlinifanya hasira ???? zizidi

Four love ❤️❤️❤️❤️ njia ngumu nilizopita

Mkanipa na jina, mkasema niitwe, Jeshi!

 

Konde boy Jeshi

Ila sikuhizi mnaniita Tembo

Jeshi, hata we ni Jeshi

Yaani kama huna pigo za kirembo

 

Ni Jeshi, konde boy Jeshi

Yaani wanangu wananiita Tembo

Jeshi, hata we Ni Jeshi

Yaani kama huna pigo za kirembo Ni Jeshi

 

One love ❤️ kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndio mnanunua CD

Two Love ❤️❤️ kwa wanafiki wa insta

Mnafanya niongeze bidii

Konde boy

Amaboko Lyrics – Rayvanny Ft Diamond Platnumz

Jeshi Lyrics Harmonize – Download Mp3 Audio

Previous articleNyakalaga Lyrics Japesa Ft Khaligraph Jones
Next articleWote Wazuri Lyrics Brown Mauzo Ft Timmy TDAT