Home NEWS Inachuna Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Seska, Cityboy, Vuva, Dulla, Bussa J,...

Inachuna Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Seska, Cityboy, Vuva, Dulla, Bussa J, Psycho

0
Inachuna Lyrics

Inachuna Lyrics – VDJ Jones, Juacali, Seska, Cityboy, Vuva, Dulla, Bussa J, Psycho

Verse One – Intro

VDj Jones, Si unajua ni genje ni mbwaya
Mavo on the Beat…

Ni hatari
Vile anazitoka odinary
Ni hatari
Mi najua hatari ati

Chorus

Ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna
Ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna ati

Verse Two – Juacali

Ukiskia Juacali, hio jua kunachuna
Ukiskia beat ya Mavo jua inachuna
Bado meno iko vunja mfupa
Bado tembo ziko vunja chupa
Haribu mtu wangu we mezesha
Usiku changa we serereka
Shisha iko changanya ketepa
Round ya pili inakuja we pewa
Kunja mtu gizani kisawasawa
Mkumbushe hii chuma ni ya pawa
Na kwa wale wanasumbua kwa sana
Lazima wajue hii kutu inachuna

Ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna
Ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna ati

Verse Three – Bussa J

Inachuna jaba natafuna
Inachuna naskia kujikuna Inachuna, inagonga
Nawaroga nikibonga
Peng ting nakatia
Peng ting napitia
Zimeshika mi nadai tu mabeer
Zikishika chora saba nadandia

ALSO, SING TO Sesa Lyrics – Shay Diva, Zilla (Ethic), Maddox (Boondocks)

Verse Four – Seska Ethic

Huku ukitembea na nare ni ka kipande
Afande sina kipande niko na Omo
Mgenjiko toa kwa zabe ni ka ni somo
Mkwela kama ni kware sidai ngono
Mbasu wa heavy ju ndani walevi
Mapeddy mathegi na bado mavedi
Namedi na hedi na kando makeki
Nakata makeki ni ka ni bash tei la

Ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna
Ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna ati

Verse Five – CityBoy

Inachuna
Nilipanda shash veve ndo nilivuna
Still kakiwashwa na kikikuna
Kako chonjo konjo Conjestina
Yeah yeah yeah yeah noma sana
Shawty jaza uzigo
So rewind mitindo
Fisi kwa miwindo
Nyapia mipindo
Ila City naikuna
Sio kizalendo
Na kakuta nakabless
Ila si —

Romance nakapigia nyambizizi
Mapenzi juu nimetokea uswazizi
Sweat kama kameshikia eazy
Nakakuna kanacheka kwikwikwi

Ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna
Ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna ati

Verse Six – Psycho

Mi hukata kuchapa ni kama randa
Ukinipa ni rubber na kukumanga
Daily mangata mafans venye nawamada
Ni kama airtime venye mimi nawabamba
Nakupa shot sita bora we uchore saba
Kwa kiti, kwa meza hadi kwa kitanda
Mi si waka but nitakulima kama shamba
Kama Passa passa Iano nicheze na hiyo diaba

Verse Seven – Vuva

Mi nachuna, ni Vuva
Vuva Niko bumper ukikwama nasukuma
Mi najituma hakuna dumba
Nitakula kubwa mi ka Olunga
Mbogi mbaya tukipull-up mnatii
Si kwa charts si ndo 1, 2, 3
Tunawapiga piga buti kama Booker T
Si ndo huchafua vida hadi mp3

Ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna
Ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
Inachuna, twende sana inachuna ati

ALSO, SING TO Nyandus Lyrics – KRG the Don, Sailors and Dj Lyta

Verse Eight – Dulla

Mihadare jo ako jaba
Niko giso niko murambe
Lazima itubambe we wa shada ama ngale
Pass hiyo pass sisi mapapa si mafathe
Gwas ni ya warasta na rizna jo ni za warasta
Mambota piga snapchat, tin piga pass
Chota mzinga bila glass
Tutazima tu kwa class
Kwenye suti ni matrust
Kwenye pori ni ki Trust
Nikibleki niraukie hosi
Jo nisuke nurse

VDJ Jones bila pause
Kila mtu on toes
Si unajua ni genje
Genje ni mbaya
Background vitu ni fire
Itabaki unagwayaa
Hahahaha the Superstar DJ
Tena sana Inachuna

CREDIT

VDJ JONES
JUACALI
SESKA ETHIC
PSYCHO
CITYBOY
VUVA
DULLA
BUSSA J

Leave a Reply