Home NEWS Hodari lyrics by Mbosso. Bongo flava

Hodari lyrics by Mbosso. Bongo flava

0
Hodari lyrics

We have written the best Hodari lyrics below. You will without doubt fall in love with our hodari lyrics. Enjoy and remember to come back for more sweet lyrics. We provide the best lyrics.

Lah lah laah lah
la la lah lah
Lah lah lah
Laah lah

Verse one

Shombe shombe
Mtoto laini laini
Anawaka wakaaa.. Aaahh Aha
Wanga wape vidonge
Nimebaini baini
Wana tapa tapaaa…. Aahh Aah Ah
Mmhh

Mi nawe mpaka kiama
Tuombe uzima
Waroge kwa kuchutama
Na wasimame wima
Kamwe hawatapata mwanya
Habithi fitina
Wapike mabilinganya
Si tutoke dinner

Nalegeaaaa
Ukinitazama yako macho
Yako macho
Nalegeaaaa
Ikigusana yangu na yako
Yangu na Yako

Chorus

Katoto hodari
Hodari wa mapenzi
Jamani Hodari
Hodari wa mapenzi
Kwa michezo ya chumbani
Hodaari
Hodari wa mapenzi
Mtundu kitandani
Hodaari
Hodari wa mapenzi

Verse Two

Katoto Nyakanga
Kamemzidi somo na kungwi
Chumbani Kiranga
Kinaishanga komo kirungi
Nisakata makirikiri
Kuniwasha ka pili pili
Fundi haswa amekithiri
Kunipa nilewe
Kwasa kwasa ndani bingiri
Za kukata saga kachiri
Nani haswa unafikiri
Kama si wewe

Nichezeshe kidaruso
Usiku wa manane
Vanga
Nikande kipanda uso
Tufunikane kanga
Nipitishe boda la uko
Tukakutane tanga
Sie pini wao puto
Wasijichanganye
Watapasuka

Nalegeaaaa
Ukinitazama yako macho
Yako macho
Nalegeaaaa
Ikigusana yangu na yako
Yangu na Yako

Chorus

Katoto hodari, hodari wa mapenzi
Jamani hodari, hodari wa mapenzi
Kiuno kunengua, Hodaaari
Hodari wa mapenzi
Bidu kujibidua, Hodaari
Hodari wa mapenzi

Ending

Wema sepetu hodari, hodari wa mapenzi
Uwoya hodari, hodari wa mapenzi
Mama cookie hodari, hodari wa mapenzi
Mama Dangote, Hodarii……
Hodari wa mapenzi
Jack wolper, Hodarii….
Hodari wa mapenzi
Zari mama Tiffah, Hodarii…..
Hodari wa mapenzi
Ooh Esma Khan, Hodaari
Hodari wa mapenzi
Elizabeth michael hodaaari
Hodari wa mapenzi

Artist: Mbosso

See Also: Shilingi lyrics mbosso ft reekado banks