Home NEWS Hawataki Lyrics – K2ga – New Song 2020

Hawataki Lyrics – K2ga – New Song 2020

0
Hawataki Lyrics

Hawataki Lyrics – K2ga – Download Mp3 Audio

Verse One

No aha, hey, ah, aah

Usijutie moyo wako
Ju mi ndo chaguo
Nakupenda nakujali
Amini beiby oooh

Unaposikia mabaya yangu sema
Kwamba nakucheat, sikupendi
Nina wanawake wengi sana
Mmmh ooh sana, oooh ooh…

Chorus

Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe na wewe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Verse Two

Kwanza nakula kiapo uniamini
Uko peke yako kwangu moyoni
Nalinda penzi lako nalithamini
Sasa nunu nunu wanuna nini?

Usiwasikize hao wabaya mummy
Hawapendi toto uwe nami
Uaminifu ndiyo tiba ya mapenzi
Nacho hitaji univumilie lazizi

Babu na bibi walipendana enzi
Kuna vingi walipitia vijingi
Maneno yao usipuuzi

Usiwasikize hao wapuuzi
Wanakata matawi na mizizi
Nia yao waharibu penzi
Aaah penzi, ah aaah penzi

Chorus

Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Nawe nawe, nawe nawe, nawe

Hawapendi niwe nawe
Hawataki niwe nawe
Hawapendi niwe na
Nawe na nawe na, nawe

Hawataki Lyrics Credit – K2ga

ALSO, SING TO – Moto Lyrics – Walter Chilambo – New Song 2020

Leave a Reply