Home NEWS Hao Parody Lyrics – Dogo Charlie Ft MCA Tricky

Hao Parody Lyrics – Dogo Charlie Ft MCA Tricky

0
Hao Parody Lyrics

Hao Parody Lyrics by Dogo Charlie and MCA Tricky – Download Mp3

Avo, avocado
Avo, avocado

Avocado nyamaza
Wewe haujui shida zangu
Acha nilie, lakini ninapambana
Inabidi madawa matembe tu nimeze

Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ona sa sikuwezana (Avocado)
Nilijifanya ninapenda (Avo)
Ila ikaniumiza (Avocado)

Nimekuwa celebrity sababu uliniimbia
Unatangazia watu eti nimekukosea (Get outa here)
Ka mi ni msofti mbona haukuwezana
Kama we ni mjanja mbona boil imekutokea? (Kanyagia)

Ulinitusi uhit but unachekwa (Shinda huko)
Wakatupost kwa whatsapp na FB (Kwa hivyo?)
Udaku eti unachana veve
Umefura kwa mashavu ni ka umepigwa mateke (Inakuhusu?)

Kukula parachichi gharama (Aii)
Ju ukisha shiba ni lawama (Kweli)
Dogo Charlie ukianza nilikuwa wa maana
Saa hii nimegeukiwa naitwa kitu ya laana
Na si ni ukweli

Sinanga ubaya unikulange tu (Ah zii)
Coz I won’t kill you nitakujenga tu (Mi staki)
Si bado uko na mafans wanakupenda tu
Besides usijali hivo ndo huwanga bro (Nakuona sana)

Si nyi hukula Avocado kila siku
Za Kericho mnazichukua na za Kisii mnazisifu (Kwenda huko)
Inauma kupambana na hizi issues
But ma-ove msijali tuzoee hizi vitu

Avocado nyamaza
Wewe haujui shida zangu
Acha nilie, lakini ninapambana
Inabidi madawa matembe tu nimeze

Nilijifanya nitakukula (Avo)
Ona sa sikuwezana (Avocado)
Nilijifanya ninapenda (Avo)
Ila ikaniumiza (Avocado)

Hao Parody Lyrics by Dogo Charlie and MCA Tricky

ALSO, SING TO – Brighter Days Lyrics – Sauti Sol Ft Soweto Gospel Choir

Previous articleLatest Ankara Styles From Nigeria Update
Next articleJanga La Corona Lyrics – Salome Wairimu