Home NEWS Haijakaa Sawa Lyrics – Mbosso

Haijakaa Sawa Lyrics – Mbosso

0
Haijakaa Sawa Lyrics by Mbosso

Haijakaa Sawa Lyrics by Mbosso – Download Mp3 Audio

Haijakaa Sawa Lyrics Verse One

Sasa unanuna nini?
Au unadhani hata mimi napenda
Nishazichoka na mimi
Mboga za majani kila siku mrenda

Siko juu siko chini
Niko nusu Sadoo
Si wa kumi si sabini
Ngoma ngumu bado

Kama ibada naswali sana
Usiku wa manane tena nafunga na Suna
Mambo bado bado mwana wale
Naona yanazidi kuguma

Nikirudi na hasira hasira
Nizoee
Mambo magumu bado bila bila
Niombee

Nikirudi na hasira hasira
Nizoee
Mambo magumu bado bila bila
Niombee

Chorus

Hali Haijakaa sawa
Nivumilie ipo siku tutapata
Hali Haijakaa sawa
Shida na dhiki zitakwisha baby

Hali Haijakaa sawa
Kuchana kope make up utapaka
Hali Haijakaa sawa
Tutabadili mboga kuku kwa manyama

Haijakaa Sawa Lyrics Verse Two

Chochea kuni kipenzi changu
Asubuhi tumbo likikuming’inya
Pokea kidogo changu
Tunywe chai na mkate wa ku mimina

Akili ikichoka riziki nikikosa
Najua kwako nitajiliwaza
Kama makosa nivute chumbani
Kununa nuna unajilemaza

Ustahimilivu mnao wachache mno
Jua shida rafiki wa mbivu
Baada ya dhiki mavuno
Kila jema lina maumivuu

Na kwenye waliomo tumo
Yarabi salama tupe tulivu
Penzi lisifike kikomo
Iyeee yeee eee

Nikirudi na hasira hasira
Nizoee
Mambo magumu bado bila bila
Niombee

Nikirudi na hasira hasira
Nizoee
Mambo magumu bado bila bila
Niombee

Chorus

Hali Haijakaa sawa
Nivumilie ipo siku tutapata
Halijakaa sawa
Shida na dhiki zitakwisha baby

Hali Haijakaa sawa
Kuchana kope make up utapaka
Halijakaa sawa
Tutabadili mboga kuku kwa manyama

Haijakaa Sawa Lyrics by Mbosso

ALSO, SING TO – Amen Lyrics – Nedy Music

Previous articleRobert Burale Biography, Age, Career, Wife, Occupation, Facts
Next articleCorona Lyrics – Lava Lava