Home GENERAL Extravaganza January Parody Lyrics – Dogo Charlie – Jan 2020

Extravaganza January Parody Lyrics – Dogo Charlie – Jan 2020

0
Extravaganza January Parody Lyrics
extravaganza january parody dogo charlie

Extravaganza January Parody Lyrics – Dogo Charlie

Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto na cabbage alipofika alifunika eeehh

Waliringa na nyama mpaka wenzetu huko wakaoza iyee
Walinyonya mifupa hawakujua january inakuja iyee
Wakatufanya salad hawakujua salad ndio sisi iyee
Wakafinya msosi wakatuficha sisi mezani

Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto na sukuma alipofika alifunika eeehh

Walifunga virago wakatuacha kwa shamba ushagoo
Wakaishia tao kumbe ni sisi huwalisha tao
Wakafika makwao token zinalia kwenye ground floor
Na tuwe lishe kwao tunaongezwa wamekosa nyama

Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto na Avocado alipofika alifunika eeehh

Wakaja na kaimati hawakujuwa sisi ndo kamati eeh
Wakaja na siagi wakapata tuko juu kwa ligi eehh
Ngozi yangu laini unanitoa ngozi pole pole eehh
Unile na githeri mimi siwachi nafasi

Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto na Mahindi alipofika alifunika eeehh

Wakaenda kwa duka wakanunua unga za chapati eeh
Wakaja na makeki  wakakula makeki na mathwiti
Kiporo ye ye ye hata wapike chai tunashinda chapati
Magoko ye ye ye hata kahawa inajua si ni nani
Wakitudondoa, mnadondoka
Wakituanika, mnakauka
Wakitushaga, mnashagika
Na wakitukula, mnakulika

Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto Karibuni kwenye mwezi wa msoto
Aee January imefika, mlijibamba sana mwezi wa december
Karibuni kwenye mwezi wa msoto Karibuni kwenye mwezi wa msoto

Mbona mnakula double double double
Hapana choma mahindi kwa petrol station
Kabla ukule nyingi cheki situation
Hapana kula mapera kwa pupa

Mbona mnakula double double double
Nyumba hujalipa is a no go zone
Kabla utoke ocha piga attention
Nairobi gumboots itachoma picha

Mbona mnakula double double double
Hapana choma mahindi kwa petrol station
Kabla ukule nyingi cheki situation
Hapana kula mapera kwa pupa

Mbona mnakula double double double
Nyumba hujalipa is a no go zone
Kabla utoke ocha piga attention
Nairobi gumboots itachoma picha

Extravaganza January Parody Lyrics Credit: Dogo Charlie Layon Media

ALSO, SING TO: Cheza Lyrics – Theonlydelo – New Song January 2020

Previous articleAsiwaze Lyrics – Stamina Ft Atan – New Song January 2020
Next articleNyakati Lyrics – Goodluck Gozbert – New Song Jan 2020