Home GENERAL Ex Boyfriend Lyrics – Rayvanny – New Song 2020

Ex Boyfriend Lyrics – Rayvanny – New Song 2020

0
Ex Boyfriend Lyrics

Ex Boyfriend Lyrics – Rayvanny – Download Mp3 Audio

Verse One

Leo nakula kwa macho
Nguvu ya kusema sinaa
Maneno ya mipasho
Na jeuri vimeshazimaa

Nilishafuta namba zako
Nikachoma picha zako
Sikujali ulivyoliaa

Mbele ya mashoga zako
Nikasema uende zako
Nguo nikakutupia

Na zaidi uliuguza vidonda
Kwa vipigo manyanyaso kila siku
Kwa mawazo ukakonda
Nikubize kucheat na fungwe zi

Ulinibembeleza nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza miguu ya pweza
Kuwa nawe nikasema niliteleza

Leo unapendeza wamekutengeneza
Wanaume wenye mali wenye fedha
Sasa unajiweza siwezi kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza

Chorus

Leo haipo yangu,
Ex Boyfriend, Ex Boyfriend, Ex Boyfriend
Siitwi tena hunnie baby jina langu limekuwa
Ex Boyfriend, Ex Boyfriend, Ex Boyfriend
Sikujuwa kumbe tabu pekee yangu naugua

Nawaza nilifeli wapi Kusema sikutaki
Sura ya baba na kitambi cha magasi
Sa una mtanashati vitozi tena smarti
Mtu wa gym tena ana six packi

Mi nipo juu ya bati sina mikakati
Ghetto mwendo chai na chapati
We ushahama mburatii una nyumba masaki
Mnachoma nyama kila siku party

Mshanipiga mikuki, aaa
Insta mi sifurukuti, aaa
Mambo ya gauni suti, aaa
Mkifanya photo shooti, aaa

Mapenzi hayana commando
Mwenzako inaniuma roho
Natamani nikuite njoo
Turudi kama before

Kumbe shepu ilijificha kwenye dera
Hizo skinny jeans mama zina kera
Utaniletea kadi kwenye machela
Siku wakikuvalisha shela

Na Ulinibembeleza nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza miguu ya pweza
Kuwa nawe nikasema niliteleza

Leo unapendeza wamekutengeneza
Wanaume wenye mali wenye fedha
Sasa unajiweza na sio najikweza
Najutia nafasi kuipoteza

Chorus

Leo haipo yangu,
Ex Boyfriend, Ex Boyfriend, Ex Boyfriend
Siitwi tena hunnie baby jina langu limekuwa
Ex Boyfriend, Ex Boyfriend, Ex Boyfriend
Sikujuwa kumbe tabu pekee yangu naugua

Ex Boyfriend Lyrics Credit – Rayvanny

ALSO, SING TO – Vumilia Lyrics – Rayvanny – New Song 2020

Previous articleSweet Melody Lyrics – Rayvanny – New Song 2020
Next articleGusanisha Lyrics – Gnako Ft Maua Sama – New Song 2020