Corona Lyrics by Lava Lava – Download Mp3 Audio
Verse One
Eh mola waja wako tumesimama
Tuonyeshe suluhisho
Kutwa tumeshika tama
Hatuishiwi masikitiko
Ama hizi ndio zile zama
Ziloandikwa za mwisho
Watoto wanalia baba mama
Wote manung’uniko
Nilidhani utani wanatudanganya
Waongo nikawaona nikawaona
Si unajua vijana wa maskani hawajuangi sana
Eti bongo hakuna Corona, coroona
Mara kitimu timu nasikia habari kila nikipita
Waziri Ummy mwalimu katangaza tayari
Kunao waathirika
Makundi kundi matimu
Tamko la serikali marufuku kukusanyika
Ukanipata wazimu nitapata wapi ugali
Show zote zimevunjika
Mmm Secondary Primary na Vyuo vyote vifungwe
Ukiona una mbaya dalili muone doctor usivunge
Ee hili gonjwa hatari hatari kabisa tujichunge
Usije ukafanya siri ,, itakuuua
Chorus
Corona, corona aaee
Unataka nini
Corona, corona aaee
Kwetu umefata nini
Corona, corona aaee
Tumekukosea nini
Corona, corona aaee
Utaondoka lini
Verse Two
Moyo umetanda hofu
Masikini mimi
Ndugu zangu walotoka Europe
Wapo Quarantine
Ishamkumba SK
Bosi wangu Salaamu
Na yule Mwana FA
Washaposti instagramu
Sorry naomba kurudia kidogo
Kipande hiki kimenihuzunisha sana
Mmm Ishamkumba SK
Bosi wangu Salaamu
Na yule Mwana FA
Washaposti instagramu
Ee na sasa wasafi kweupe
Hakuna watu ofisini
Naona marupe rupe
Jamani tuwe makini
Secondary Primary na Vyuo vyote vifungwe
Ukiona una mbaya dalili muone doctor usivunge
Ee hili gonjwa hatari hatari kabisa tujichunge
Usije ukafanya siri ,, itakuuua
Chorus
Corona, corona aaee
Unataka nini
Corona, corona aaee
Kwetu umefata nini
Corona, corona aaee
Tumekukosea nini
Corona, corona aaee
Utaondoka lini
Verse Three
Mikono kwa sabuni
Osha osha
Kwa sekunde ishirini
Osha osha
Vaa mask usilete uhuni
Osha osha
Ukiwa nyumbani ofisini
Osha osha
In God we Trust
Corona Lyrics by Lava Lava
ALSO, SING TO – Haijakaa Sawa Lyrics – Mbosso