Home NEWS Bloody War Lyrics – Mbogi Genje Ft Seska, Dullah

Bloody War Lyrics – Mbogi Genje Ft Seska, Dullah

0
Bloody War Lyrics

Bloody War Lyrics By Mbogi Genje Ft Seska, Dullah – Download Mp3 Audio

Bloody scene ma reporter wahepe
Ka ni scene ma revolver ma AK
Ibaki scene kawe gwangi ya ma Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke
Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Verse One Bloody War Lyrics

Mauru ni mauru ye atabaki kuwa mauru
Na wa huku hutumia dumba na madawa
Kama dudu ka ni vita utabaki bila ukapi
Na marungu hapa issues sitaki
Unaweza vunjwa bloody nugu

Pia ma misuse sitaki juwa excell tuko huku
Bila morio bila ndugu utaweza utafaulu
Kila mtu ana virusi hadi ma pastor wanajishuku
Hapa hakunanga mapenzi jo mapenzi haiwezi dumu

Na nakunao nakudigi gotea morio chanji zigi
Ye huzi roll bila ziggy buda riang’ kama Timmy
Kunywa dhiang’ kama mbili buda riang’ huna akili
Huwezi burn ka nare huwezi run ka mkale

Kisu, kisu haichagui koma
Koma koke haichagui kisu
Kisu, kisu haichagui koma
Koma koke haichagui kisu
Kisu, kisu haichagui koma
Koma koke haichagui kisu

Una mbao na unadai Kibao nusu

Chorus

Bloody scene ma reporter wahepe
Ka ni scene ma revolver ma AK
Ibaki scene kawe gwangi ya ma Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke
Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Verse Two Bloody War Lyrics

Zama choche ya machingri na makidri
Hao marezzy wanabanja ni wanigri
Na fufue ile ilengi wanazibri
Rengwa wako Chiromo kwa njifri

Mi hupenda kuzi cock kama coke
Kama mbaya basi tunabaki mbogi
Uko dufla umebuguda kwa roadi
Na madibla zimetapakaa kwa roadi

Morio ng’ore anasimamia njiste
Ka ni ngeuso mi huzungushia na difre
Ka ni asset kuzipeleka muriste
Ka ni bale mi hubwekishanga ticre

Uko front end jitu umejibeba
Uko stroko kila jeez kuzibeba
Ka ni shake si hulima hizi ndeba
Hizi shang’ ndio husababisha rieba

Niko ndoso nawazama tu mambosho
Ni kunare walidhani ni kunyonso
Zimeshika ka simiti na kokoto
Kuwadenki kwa warosho kimangoto

Chorus

Bloody scene ma reporter wahepe
Ka ni scene ma revolver ma AK
Ibaki scene kawe gwangi ya ma Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke
Ama gwangi atabakishwa na Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

Verse Three Bloody War Lyrics

Kifo haichagui kama umeokoka haichagui kabilaa
Haichagui ka umemoka ka wewe uko bila
We ni simba blunder umeekea mse scene imetoka na bilaa
Achanga ufike Shang’ alafu upate mi ndio gandilaa

Achanga ukabilaa
Si ni watumwa tuliacha mila
Medi wa miraa
Huwezi nipata mi bila silaha

Bangi na miraa
Bangi na Bangi na Miraa
Bangi na silaha
Kuna vitu siezi kaa bilaa

Chorus

Bloody scene ma reporter wahepe
Ka ni scene ma revolver ma AK
Ibaki scene kawe gwangi ya ma Senke
Hapa gwangi atabakisha ma Senke

SING TO: One Night Stand Cover Lyrics By Dogo Charlie

Bloody War Lyrics By Mbogi Genje Ft Seska, Dullah

Previous articleFall In Love Lyrics – Harmonize
Next articleEldoret National Polytechnic Admission Requirements