Home GENERAL Bila Pesa Lyrics – WEEZDOM & PETER BLESSING

Bila Pesa Lyrics – WEEZDOM & PETER BLESSING

0
Bila Pesa Lyrics
bila pesa weezdom

Bila Pesa Lyrics – WEEZDOM & PETER BLESSING

Tembea, natembea
Tembea, natembea

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila Pesa Lyrics Verse 1 – WEEZDOM

Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo hawakuwa na money
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani

Bila pesa bila money
Kanifia msalabani
Cheki bro relax chill skiza flow
Amenijenga na asiniulize wapi doh
Cheki bro relax chill skiza flow
Ka unataka ukweli mi sinaga doh

Chorus

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila Pesa Lyrics Verse 2 – Peter Blessing

One, alinitoaga Voi
Sasa niko jiji shetani hatoboi
Two, akanipa mziki
Nampa shukurani zangu toka moyoni
Three, ananipenda sana
Namuimbiaga Hosana

Four, siku zote sitamuacha
Ata nikisota atabaki kuwa mwamba
Nikimwendea hunipokea
Na njia zake mimi nafuatilia
Nikiongea nikitembea
Yeye huwa nami kote naelekea

Chorus

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

Bila Pesa Lyrics Verse 3

Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye

Chorus

Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December

ALSO, SING TO Biringisha Lyrics – WAKALI WAO

Credit

WEEZDOM and PETER BLESSING

Previous articleBiringisha Lyrics – WAKALI WAO
Next articleFORE Forever Lyrics – Nviiri the Storyteller