Bila Pesa Lyrics – WEEZDOM & PETER BLESSING
Tembea, natembea
Tembea, natembea
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila Pesa Lyrics Verse 1 – WEEZDOM
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo hawakuwa na money
Bila pesa bila money
Wazee wa kitambo walikuwa zamani
Bila pesa bila money
Kanifia msalabani
Cheki bro relax chill skiza flow
Amenijenga na asiniulize wapi doh
Cheki bro relax chill skiza flow
Ka unataka ukweli mi sinaga doh
Chorus
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila Pesa Lyrics Verse 2 – Peter Blessing
One, alinitoaga Voi
Sasa niko jiji shetani hatoboi
Two, akanipa mziki
Nampa shukurani zangu toka moyoni
Three, ananipenda sana
Namuimbiaga Hosana
Four, siku zote sitamuacha
Ata nikisota atabaki kuwa mwamba
Nikimwendea hunipokea
Na njia zake mimi nafuatilia
Nikiongea nikitembea
Yeye huwa nami kote naelekea
Chorus
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila Pesa Lyrics Verse 3
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Tembea, natembea
Na yeye
Chorus
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
Bila pesa bila money
Mi najua unanipenda
Mi najua yuko nami
Toka Jan mpaka December
ALSO, SING TO Biringisha Lyrics – WAKALI WAO
Credit